Google Chrome Msaada Tutani.

Public Enemy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2011
Posts
3,062
Reaction score
3,620
Wakuu habari ya muda huu, ninapatwa na shida hii katika Laptop HP 630 CORE I3. Chrome pamoja na chromium zote hazifunguki. Zinaleta ujumbe huo. WINDOWS INTERNET EXPLORER INAFUNGUKA LAKINI HAIFUNGUI SITES NINAZOTAKA. Naombeni msaada.
 
Jaribu kufungua. ikikataa chukua screenshot alaf iposti hapa. Ili tujue pa kuanzia
 
Hapo nimekusoma sasa. kumbe kuna baadhi ya site ndio haifungu.

cha kwanza UPDATE CHROME
Hakikisha Tarehe ya hiyo computer yako ipo sahihi.
Je unatumia internet binafsi au ya ofisi (naomba kujua chanzo chako cha internet)
 
anatumia internet ya serikali,nadhani angesubiri muda wa masaa ya kazi upite then ndio ajaribu tena..
 
Hapo nimekusoma sasa. kumbe kuna baadhi ya site ndio haifungu.

cha kwanza UPDATE CHROME
Hakikisha Tarehe ya hiyo computer yako ipo sahihi.
Je unatumia internet binafsi au ya ofisi (naomba kujua chanzo chako cha internet)
Nimejaribu kui update haitaki pia. Natumia internet Binafsi mkuu.
 
Chrome mara nyingi inashare na setting za pc wakati mozilla firefox inajitegemea. Download firefox kwanza kisha angalia inaleta hilo tatizo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…