Good News

Sasa hizo benki inabadili kiwango che fee kuwa 1152/- sasa ili keki yake isipungue
 
Duh yan mambo hayaeleweki mbn sielewi elewi
 
Duh, a big loss to the bank, na wap wata cover vip operation cost? Kumbuka hiyo faida ni gross Tu....anyways, our government knows better than I do.

Isije kuwa sababu ya biashara nyingi kuhamishwa ...
 
Kuna mfanya biashara anayeongezewa gharama kwenye biashara yake, asiipigie hesabu kwenye bei ya bidhaa zake? Wakipanga hiyo 18% waanzishe kiti kama "technology fee" au wakipe jina lolote, serikali inadhibiti namna gani wakati upangaji wa gharama za huduma za mabenki walishaachiwa wenye benk waamue?
 
Duh, a big loss to the bank, na wap wata cover vip operation cost? Kumbuka hiyo faida ni gross Tu....anyways, our government knows better than I do.

Isije kuwa sababu ya biashara nyingi kuhamishwa ...
Watacover VP kwani ww ndio msemaji wao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…