Dunia ya tatu ukiwa mjazito basi mguu mmoja kaburini mwingine duniani.So sad she wanted to give life instead she has lost hers[/QUOTE
We acha tu mimi huyu dada ni mtu wa pili yaani ninaowafahamu kabisa ndani ya mwezi huu mmoja wamefariki kisa uzazi, nimechoka kabisa hapa wamama tuna tabu ni Mungu tu aingilie kati.