GE2025 Gombo: Nikishinda tu Uchaguzi nawaachia wenye kesi za Uhaini

GE2025 Gombo: Nikishinda tu Uchaguzi nawaachia wenye kesi za Uhaini

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
844
Reaction score
1,608
Mgombea Urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Gombo Samandito Gombo amesema kwamba atakapopata ridhaa ya kuongoza nchi atahakikisha wanasiasa wote waliopewa kesi za uhaini wanaachiliwa huru.

 
Mgombea Urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Gombo Samandito Gombo amesema kwamba atakapopata ridhaa ya kuongoza nchi atahakikisha wanasiasa wote waliopewa kesi za uhaini wanaachiliwa huru.
Huyo ata udiwani awezi pata.viongozi kipindi cha uchaguzi tuu😂😂
 
Back
Top Bottom