GE2025 Golugwa: Bila mabadiliko ya kweli, hatutashiriki uchaguzi ambao hautaleta haki

GE2025 Golugwa: Bila mabadiliko ya kweli, hatutashiriki uchaguzi ambao hautaleta haki

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
“Hatutokuwa tayari kabisa sisi na wananchi walioko nyuma yetu hatutokuwa tayari kwenda kwenye uchaguzi ambao kimsingi sera na taswira yake itakuwa ni tendo la unajisi,” amesema Golugwa.

Amesisitiza kuwa mifumo ya uchaguzi inayoongozwa na sheria, kanuni na Katiba ya nchi ina mapungufu makubwa yanayohitaji marekebisho ya haraka, na iwapo serikali na vyombo vinavyosimamia uchaguzi havitatoa majibu ya wazi, basi CHADEMA haitashiriki uchaguzi huo.

Golugwa ameongeza kuwa msimamo huo haujajengwa kwa misingi ya kisiasa pekee, bali ni sauti ya Watanzania wengi wanaotamani kuona taifa likiendelea kwa misingi ya haki na amani.

“Msimamo huu si wa chama peke yake, ni wa wananchi. Wapo viongozi wa dini, wapo wazee wa taifa, wapo wanachama wetu wanaotutumia maoni kila siku. Tunachosema ni kwamba, bila mabadiliko ya kweli, hatutashiriki uchaguzi ambao hautaleta haki,” amesisitiza Golugwa.

 
“Hatutokuwa tayari kabisa sisi na wananchi walioko nyuma yetu hatutokuwa tayari kwenda kwenye uchaguzi ambao kimsingi sera na taswira yake itakuwa ni tendo la unajisi,” amesema Golugwa.

Amesisitiza kuwa mifumo ya uchaguzi inayoongozwa na sheria, kanuni na Katiba ya nchi ina mapungufu makubwa yanayohitaji marekebisho ya haraka, na iwapo serikali na vyombo vinavyosimamia uchaguzi havitatoa majibu ya wazi, basi CHADEMA haitashiriki uchaguzi huo.

Golugwa ameongeza kuwa msimamo huo haujajengwa kwa misingi ya kisiasa pekee, bali ni sauti ya Watanzania wengi wanaotamani kuona taifa likiendelea kwa misingi ya haki na amani.

“Msimamo huu si wa chama peke yake, ni wa wananchi. Wapo viongozi wa dini, wapo wazee wa taifa, wapo wanachama wetu wanaotutumia maoni kila siku. Tunachosema ni kwamba, bila mabadiliko ya kweli, hatutashiriki uchaguzi ambao hautaleta haki,” amesisitiza Golugwa.

NB: Tafadhali tembelea chaneli ya YouTube ya Jambo TV kutazama kipindi hiki kwa urefu.
Hehehe. .... .hili somo tayari
 
“Hatutokuwa tayari kabisa sisi na wananchi walioko nyuma yetu hatutokuwa tayari kwenda kwenye uchaguzi ambao kimsingi sera na taswira yake itakuwa ni tendo la unajisi,” amesema Golugwa.

Amesisitiza kuwa mifumo ya uchaguzi inayoongozwa na sheria, kanuni na Katiba ya nchi ina mapungufu makubwa yanayohitaji marekebisho ya haraka, na iwapo serikali na vyombo vinavyosimamia uchaguzi havitatoa majibu ya wazi, basi CHADEMA haitashiriki uchaguzi huo.

Golugwa ameongeza kuwa msimamo huo haujajengwa kwa misingi ya kisiasa pekee, bali ni sauti ya Watanzania wengi wanaotamani kuona taifa likiendelea kwa misingi ya haki na amani.

“Msimamo huu si wa chama peke yake, ni wa wananchi. Wapo viongozi wa dini, wapo wazee wa taifa, wapo wanachama wetu wanaotutumia maoni kila siku. Tunachosema ni kwamba, bila mabadiliko ya kweli, hatutashiriki uchaguzi ambao hautaleta haki,” amesisitiza Golugwa.

NB: Tafadhali tembelea chaneli ya YouTube ya Jambo TV kutazama kipindi hiki kwa urefu.
kiufupi hatupigi kura
 
“Hatutokuwa tayari kabisa sisi na wananchi walioko nyuma yetu hatutokuwa tayari kwenda kwenye uchaguzi ambao kimsingi sera na taswira yake itakuwa ni tendo la unajisi,” amesema Golugwa.

Amesisitiza kuwa mifumo ya uchaguzi inayoongozwa na sheria, kanuni na Katiba ya nchi ina mapungufu makubwa yanayohitaji marekebisho ya haraka, na iwapo serikali na vyombo vinavyosimamia uchaguzi havitatoa majibu ya wazi, basi CHADEMA haitashiriki uchaguzi huo.

Golugwa ameongeza kuwa msimamo huo haujajengwa kwa misingi ya kisiasa pekee, bali ni sauti ya Watanzania wengi wanaotamani kuona taifa likiendelea kwa misingi ya haki na amani.

“Msimamo huu si wa chama peke yake, ni wa wananchi. Wapo viongozi wa dini, wapo wazee wa taifa, wapo wanachama wetu wanaotutumia maoni kila siku. Tunachosema ni kwamba, bila mabadiliko ya kweli, hatutashiriki uchaguzi ambao hautaleta haki,” amesisitiza Golugwa.

Hivi Golugwa kiukweli, "Who are you?" Ahahahahaha!!!!
 
“Hatutokuwa tayari kabisa sisi na wananchi walioko nyuma yetu hatutokuwa tayari kwenda kwenye uchaguzi ambao kimsingi sera na taswira yake itakuwa ni tendo la unajisi,” amesema Golugwa.

Amesisitiza kuwa mifumo ya uchaguzi inayoongozwa na sheria, kanuni na Katiba ya nchi ina mapungufu makubwa yanayohitaji marekebisho ya haraka, na iwapo serikali na vyombo vinavyosimamia uchaguzi havitatoa majibu ya wazi, basi CHADEMA haitashiriki uchaguzi huo.

Golugwa ameongeza kuwa msimamo huo haujajengwa kwa misingi ya kisiasa pekee, bali ni sauti ya Watanzania wengi wanaotamani kuona taifa likiendelea kwa misingi ya haki na amani.

“Msimamo huu si wa chama peke yake, ni wa wananchi. Wapo viongozi wa dini, wapo wazee wa taifa, wapo wanachama wetu wanaotutumia maoni kila siku. Tunachosema ni kwamba, bila mabadiliko ya kweli, hatutashiriki uchaguzi ambao hautaleta haki,” amesisitiza Golugwa.

 
who

are you by the way, hujawahi kuwa hata mjumbe ya house kumi kumi
Wanataka kuokota embe chini ya mwarubaini! Serikali ijitengenezee kushindwa kwake!!! Wataimba nyimbo zote wapinzani wanapendeza wakiwa wapinzani ivyo ivyo..
 
“Hatutokuwa tayari kabisa sisi na wananchi walioko nyuma yetu hatutokuwa tayari kwenda kwenye uchaguzi ambao kimsingi sera na taswira yake itakuwa ni tendo la unajisi,” amesema Golugwa.

Amesisitiza kuwa mifumo ya uchaguzi inayoongozwa na sheria, kanuni na Katiba ya nchi ina mapungufu makubwa yanayohitaji marekebisho ya haraka, na iwapo serikali na vyombo vinavyosimamia uchaguzi havitatoa majibu ya wazi, basi CHADEMA haitashiriki uchaguzi huo.

Golugwa ameongeza kuwa msimamo huo haujajengwa kwa misingi ya kisiasa pekee, bali ni sauti ya Watanzania wengi wanaotamani kuona taifa likiendelea kwa misingi ya haki na amani.

“Msimamo huu si wa chama peke yake, ni wa wananchi. Wapo viongozi wa dini, wapo wazee wa taifa, wapo wanachama wetu wanaotutumia maoni kila siku. Tunachosema ni kwamba, bila mabadiliko ya kweli, hatutashiriki uchaguzi ambao hautaleta haki,” amesisitiza Golugwa.

Yuko sahihi 100%
 
Back
Top Bottom