Goli alilofungwa kipa wa Simba dhidi ya Lipuli sio la kufungwa kabisa

Mashabiki WA mpira WA Tanzania hata wakishinda kwenye TV kuangalia ligi za ulaya au wakapelekwa ulaya kuangalia ligi za wenzetu ni bure tu hatuna cha kujifunza ni lawama na majungu tu. Timu kufungwa ni lazima na mambo ya kawaida. Inafungwa barc Madrid man u ikawa simba au yanga.
 
Mbona mapema tena


Lakini ugolikipa mgumu na hata ule mpira. Sasa tunasemaje kuhusu kipa wa Azam naye, Razak...afadhali hat goli alilofungwa Manula! ee! Ndiyo maana Beckham alikuwa analipwa pesa nyingi.

Mpira wa miguu unataka teamwork ya hali ya juu, kikosi kipana kwa vipaji na mazoezi mazuri, na maamuzi sahihi na ya haraka ya couch otherwise soccer ni mchezo mgumu sana. Unaweza jikuta hupigi hatua bila kujua sababu.
 
Simba jana ilicheza kandanda safi sana dhidi ya Lipuli kwa muda wote wa mchezo. Nawashauri Simba kuwa waanze kumtafuta kipa badala ya Manula. Lile goli la jana siyo goli la kufungwa kipa kama Manula. Dosari kubwa la Manula ni kimo chake. Manula ni mfupi kwa kimo na kwa goli la jana kama kipa angekuwa ni kipa mrefu lile goli lisingeingia kwenye nyavu. Simba tafuteni kipa mrefu na mahiri hasa wakati huu wa dirisha dogo.
Manula na John Bocco waliingia Simba kwa njia ya Rushwa , huwezi kuchukua magarasa kama yale hivihivi .
 
Acha Upoyoyo na Unafiki! Kwasisi Washabiki Wa Simba Hakuna Hata Mmoja aliyejaribu angalau Kufikiria tu Kumlaumu Manula Kwa Goli lile...

Jidhihirishe Tu Kuwa wewe ndio wale wale [HASHTAG]#Ndala[/HASHTAG]...
Tena Just Shut Up acha Kumsema Vibaya Kipa wetu...

Kila anaejua Mpira anafahamu Wazi Kuwa Mpira Kama Ule Kipa hata Kama Ana Futi 7.5ft hawezi Udaka.. Sasa Kosa la Manula lipo wapi Wakati Hata Ulaya Makipa Wanafungwa Kwa Free Kick?

Pleas! Leave us alone with our Simba.
 
Simba jana ilicheza kandanda safi sana dhidi ya Lipuli kwa muda wote wa mchezo. Nawashauri Simba kuwa waanze kumtafuta kipa badala ya Manula. Lile goli la jana siyo goli la kufungwa kipa kama Manula. Dosari kubwa la Manula ni kimo chake. Manula ni mfupi kwa kimo na kwa goli la jana kama kipa angekuwa ni kipa mrefu lile goli lisingeingia kwenye nyavu. Simba tafuteni kipa mrefu na mahiri hasa wakati huu wa dirisha dogo.
kipa angekuwa mrefu, mpigaji angemchambua kwa kimo hicho. kwani makipa warefu hawafungiki?
jana nilipata raha mno kwa matokeo yale.
 
Acha Upoyoyo na Unafiki! Kwasisi Washabiki Wa Simba Hakuna Hata Mmoja aliyejaribu angalau Kufikiria tu Kumlaumu Manula Kwa Goli lile...

Jidhihirishe Tu Kuwa wewe ndio wale wale [HASHTAG]#Ndala[/HASHTAG]...
Tena Just Shut Up acha Kumsema Vibaya Kipa wetu...

Kila anaejua Mpira anafahamu Wazi Kuwa Mpira Kama Ule Kipa hata Kama Ana Futi 7.5ft hawezi Udaka.. Sasa Kosa la Manula lipo wapi Wakati Hata Ulaya Makipa Wanafungwa Kwa Free Kick?

Pleas! Leave us alone with our Simba.
Manula alikaa wrong position,ikawa ngumu kujivuta far left. Ni kosa la kawaida kwa kipa,na ni ujuzi wa mpigaji. Ni goli
 
Lakini ugolikipa mgumu na hata ule mpira. Sasa tunasemaje kuhusu kipa wa Azam naye, Razak...afadhali hat goli alilofungwa Manula! ee! Ndiyo maana Beckham alikuwa analipwa pesa nyingi.

Mpira wa miguu unataka teamwork ya hali ya juu, kikosi kipana kwa vipaji na mazoezi mazuri, na maamuzi sahihi na ya haraka ya couch otherwise soccer ni mchezo mgumu sana. Unaweza jikuta hupigi hatua bila kujua sababu.
Mpira Una mambo mengi ujue, kuna magoli kipa anafungwa mpaka unashangaa,, lakini ndio sehemu ya football hiyo
 
Nimeangalia mara kadha lile goli lakini bado sijaona kosa kipa. Tunasahau kumsifu mpigaji wa ile faulo tunamlaumu kipa. Ukiangalia goli alilofungwa kipa wa Azam jana ndiyo utashangaa zaidi. Yaani hata hakusogea alipokuwa amesimama, uliusindikiza mpira nyavuni kwa macho tu.
 
Manula alikaa wrong position,ikawa ngumu kujivuta far left. Ni kosa la kawaida kwa kipa,na ni ujuzi wa mpigaji. Ni goli


Mkuu hupo Sahihi! Manula Hakukaa Wrong Position...

Kama uliangalia Mpira Basi uliona Wazi Kuwa Asante Alipirisha Mpira Juu Ya Ukuta Wa Simba na Kuingia Pembeni mwa Nguzo iliyopo Nyuma ya Ukuta...

Na Kwa Aliyecheza Mpira Yeyote anajua Kuwa Siku Zote Hukaa upande wa pili usio na Ukuta Kwa Kucover Nusu goli, Na nusu nyengine ya Goli inazibwa na Ukuta
.!

Je ulitaka Kipa akae Nyuma ya Ukuta na Kuliwacha Goli upande Mmoja likiwa tupu?? Je hiyo ndiyo ingekuwa right position?

Mkuu Manula Alikaa Position sahihi ila umahiri wa Mpigaji ndiyo sababu ya Goli..
 
mabeki ndio walibugi nasio kipyaa, yamesimama kama milingoti hata kuruka basi hakuna
 
Back
Top Bottom