Crysili yako poa sanaNahitaji godoro la spring.
Je godoro gani zuri ndugu zangu kwa wale waliotumia?
Sihitaji wafanyabiashara kujitangaza nahitaji kupata elimu ya godoro ambapo elimu itasaidia na wengine.
Huyajui mkuu? Yanawekwa spring kama magari pia yanatembea, unalala zako kimara unaamka kwa Mungu kuja kustuka kumbe ulishakufa kitambo na ushazikwaspring jamani tueleweshane,tutoane ushamba
Ni godoro kama mengine ila humo ndani yake kuna spring hivo linanesa nesa, huwa yanatqngazwa sanaspring jamani tueleweshane,tutoane ushamba
Je bongo lipo na ni kiasi gani?Crysili yako poa sana
oooh,kumbe asante kwa ufafanuziNi godoro kama mengine ila humo ndani yake kuna spring hivo linanesa nesa, huwa yanatqngazwa sana
mkuu mbona umeniongezea utata jamaniHuyajui mkuu? Yanawekwa spring kama magari pia yanatembea, unalala zako kimara unaamka kwa Mungu kuja kustuka kumbe ulishakufa kitambo na ushazikwa
Hilo hapo arusha yanapatikana ila hata kwa mikoani nadhani wana agents unaweza kupata.spring jamani tueleweshane,tutoane ushamba
Gharama yake ikoje ndugu?Hilo hapo arusha yanapatikana ila hata kwa mikoani nadhani wana agents unaweza kupata.
View attachment 2470815