Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,509
- 283,958
Una hoja .Msema kweli
Ina muimarisha zaidi , kwani hujui Trump alichoifanyia ccm ? Ni kwamba wale mabalozi wanaowalea lea huku katiba ikisiginwa ndio basi tena .Sasa inamsaidia nini?
Taarifa zinadokeza kwamba Mh Lema ameingizwa kwenye kundi la WAPIGANIA UHURU MAARUFU WA AFRICA , yaani sasa yuko kundi moja na Nyerere na Kwame Nkruma.CHADEMA wamemuachia gunia la misumari alibebe yeye mwenyewe na wananchi wa Arusha wameamua wakae mbali.
sasa uhuru upi anaupigania he need to grow upTaarifa zinadokeza kwamba Mh Lema ameingizwa kwenye kundi la WAPIGANIA UHURU MAARUFU WA AFRICA , yaani sasa yuko kundi moja na Nyerere na Kwame Nkruma.
Hivi unadhani nchi hii iko huru ?sasa uhuru upi anaupigania he need to grow up
Thubutu!! Labda Uhuru wa kuwapigania wapiga deal waendelee kufyonza lasilimali za taifa hili changa. Otherwise mumshauri atulie kama boss wake EL ataheshimikaTaarifa zinadokeza kwamba Mh Lema ameingizwa kwenye kundi la WAPIGANIA UHURU MAARUFU WA AFRICA , yaani sasa yuko kundi moja na Nyerere na Kwame Nkruma.