Godbless Lema kuunguruma Wasafi Media

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,524
Reaction score
284,008
Hii ndio taarifa mpya ya sasa kutoka Wasafi Media kwamba Godbless Lema ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema amealikwa kwenye kipindi cha asubuhi ( GOOD MORNING ), tarehe 25/04/2023, kuanzia Alfajiri saa 11 hadi saa 2 Asubuhi.

Ikumbukwe kwamba miongoni mwa Watangazaji wa Wasafi Media ambao watamhoji Lema yumo Gerald Hando.

Kwa mara ya kwanza mimi nitafuatilia Wasafi Media tangu ianzishwe.

Wote mnakaribishwa.
 
Mchizi ana madini, fokea sana bodaboda, vikoba, Mji wa Tanga ngoja tuone leo anaweza akawafokea Simba Sports Club waache ushirikina
 
"Shemeji yake"ambaye ni mh.Waziri amemkaribisha vyema tu nyumbani.....

Wasafi wamemkaribisha....

Wewe nawe unaanza kufuatilia wasafi baada ya yeye kukaribishwa nao......

Jiandae kufuatilia vipindi vya redio nyingi ambazo umekuwa "ukizipuuza" kwani Lema atazizungukia za nchi nzima kufuatia mwaliko [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Tukisema MAMA KAJA[emoji1732][emoji1732]
Nawe unasema LEMAAA KAJAAAAA [emoji7]

#SiempreJMT

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
watangazaji wachunge magari tao hapo parking
 
Wasafi TV kwa sasa wanazungumzia Bangi na madhara yake!! Naona wanajiandaa
 

Ajitahidi kuongelea vitu practical vinavyogusa wananchi aache kauli za ukakasi.
 
Sijaelewa chochote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…