God Save Magufuli

Hii ni platform huru Sangatitti kila mtu ana uhuru wa kusema anachokiamini bila kutumia lugha chafu.

Kwa akili kidogo tuu ukiweza kuitambua mamlaka ya rais utaelewa kwamba hawezi tumia nguvu ya risasi kumuumiza mtanzania mmoja.
Hata kama kuna makosa yapo maamuzi sahihi mengi angeweza kufanya sio risasi.
Pia hakuna binadamu anayeweza kufurahia kitendo cha mwingine kupigwa risasi na hili liko ndani ya vyombo husika likifanyiwa kazi
....ifike mahala tusubiri matokeo ya uchunguzi

Ni vizuri ukijaribu kuchuja unachoongea au kuandika bila kujali kuwa upo nyuma ya keyboard na id mpya itakusaidia sana kifikra, huwezi kulazimisha tufanane kwa kutumia matusi
 
Umesema vizuri sana Mama D
 
What followed after the assassination attempt.

Every sane person knows.

Magu wanted him dead, and all his deeds has been obvious since day one.
I thought we are discussing issues and not personal feelings.
 
Amani Msumari,
Its only sinners who need to be saved! Is your Magu a sinner???? Let him be crucified for his deeds.No way!
 
ili nini kwa mfano!? Ushahidi upo?
TL amerudi mzima wa afya atafute waliomuua akitumia taaluma yake
Tuache kumhusisha rais na mambo ya kusikiasikia bila kuthibitisha
SH.
 
ili nini kwa mfano!? Ushahidi upo?
TL amerudi mzima wa afya atafute waliomuua akitumia taaluma yake
Tuache kumhusisha rais na mambo ya kusikiasikia bila kuthibitisha
Jukumu la kutafuta wahalifu limekuwa la mtu binafsi aliyetendewa???? Nini kazi na maana ya kuwa na jeshi la polisi na vyombo vingine kwa gharama ya walipa kodi wote? VERY POOR THINKING!
 
Kwa taarifa yako sie hatupendi showoff tayari serikali ikishirikiana na taasisi zake imekwisha walipa wastaafu wa taasisi mbalimbali na inaendelea kuwalipa..

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mnawalipa baada ya kuwanyanyasa na uchaguzi kukaribia ili mpate kiki kama wanyonge wa "korosho?" rushwa hiyo!
 
Jukumu la kutafuta wahalifu limekuwa la mtu binafsi aliyetendewa???? Nini kazi na maana ya kuwa na jeshi la polisi na vyombo vingine kwa gharama ya walipa kodi wote? VERY POOR THINKING!
Yeye anayajua mengi yaliyokua yakiendelea kabla na baada ya shambulio, na ameshaongea mengi baada ya kupona sasa ni wakati sahihi kwake kumshirikisha na vyombo husika kudai haki yake.
 
To prove that, just recently Tanzania has been declared a lower-middle income economy country, joining few others in Africa and become the second country to enter that level in East Africa after Kenya.
Nothing permanent. Situation subject to changes. See the data below in a table from WB

Economies moving to a lower category
EconomyNew groupOld groupGNI/Capita/$ (2019) as of July 1, 2020GNI/Capita/$ (2018) as of July 1, 2019
AlgeriaLower-middle incomeUpper-middle income3,9704,060
Sri LankaLower-middle incomeUpper-middle income4,0204,060
SudanLow incomeLower-middle income5901,560
So nothing to cherish!
 
MNAWALIPA BAADA YA KUWANYANYASA NA UCHAGUZI KUKARIBIA ILI MPATE KIKI KAMA WANYONGE WA "KOROSHO?" RUSHWA HIYO!
Kafungue jalada kama unaona ni rushwa, kwa taarifa tu, kuwalipa wastaafu hatujaanza jana wa juzi sema hatupendi showoff za kipumbavu kama yule mwenda wazimu wenu anae taja kila muda kuwa amepigwa risasi..

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
LABDA ALIYE "HIGH" NA SIYO "HAI"
Mungu yupo anaona yote maovu na mema na Mungu huwa anaombwa lakini kamwe hapangiwi
Wanaomuombea John Pombe Magufuli kwa Mungu wanaweza kusikilizwa kwa kadri ya maombi yao zaidi ya wale wanaompangia Mungu
 
NA MUNGU HUYO HUYO HUSIKILIZA VILIO VYA WAJA WAKE NA KUWAOKOA! nI MUDA WA WAJA WAKE KUSIKILIZWA!
Mungu yupo anaona yote maovu na mema na Mungu huwa anaombwa lakini kamwe hapangiwi
Wanaomuombea John Pombe Magufuli kwa Mungu wanaweza kusikilizwa kwa kadri ya maombi yao zaidi ya wale wanaompangia Mungu
Mbona nawe unataka kumpangia?
 
NA MUNGU HUYO HUYO HUSIKILIZA VILIO VYA WAJA WAKE NA KUWAOKOA! nI MUDA WA WAJA WAKE KUSIKILIZWA!

Mbona nawe unataka kumpangia?

Soma kwa vituo utaelewa
 
Sasa ilikuwaje tukaingia uchumi wa kati? Au tumependelewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…