Nikisoma 2Wafalme 6:5~7 huwa naona tofauti ya science na imani hasa mstari wa 6,,,kuhusu shape ya kitu cha kuelea..kwa hata ukitaka kutafuta volume ya water displaced hutoipata,,,mass ya water displaced hutoipata au density ya kile chuma hutoipata labda density ya hayo maji tu maana iko constant.
Ila ni science ipi iliokifanya hiki chuma kielee??
Je! Kwa hili tusikubali kwamba Imani ya kumwamini Mungu ni inversely proportional na Science ambayo ni falsafa ilioanzishwa na watu ambao ni viumbe wa Mwenyezi??
Kama science imeweza kuextract asilimia 10%ya uumbaji wa Mungu,,tena hii iko kwenye percentage ya kibinadamu,,Mungu mwenyewe akitupa percentage ya kile tulichogundua kwenye hio science si itakuwa asilimia 0,,0%??
Japo kwa kuwa binadamu Anaendelea kuchunguza yapo mengi atayajua.