GE2025 Glory Tausi: No Reforms, No Election ya Mbowe ilikuwa ina mikakati ya kuhakikisha tunashida uchaguzi na tunatangazwa, Ya Lissu ilikuja na nginjanginja

GE2025 Glory Tausi: No Reforms, No Election ya Mbowe ilikuwa ina mikakati ya kuhakikisha tunashida uchaguzi na tunatangazwa, Ya Lissu ilikuja na nginjanginja

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia ACT Wazalendo, Glory Tausi ameeleza kuwa No reforms No Election ya Mbowe ilikuwa na mlango wa kutokea kuelekea kwenye Uchaguzi, na anaamini wangeshinda na kutangazwa lakini No Reforms No election ya pili (ya Lissu) imekuja na nginjanginya ingawa bado anaaamini inaweza kuleta majibu pia.

Itakumbukwa pia Glory alikuwa ni miongoni mwa Kundi la G 55 ambao walitawanyika na kuelekea katika vyama mbalimbali vya siasa hapa nchini ikiwemo CHAUMMA na ACT Wazalendo.


Source: Chief Odemba
 
Mgombe ubunge wa jimbo la Kawe kupitia ACT Wazalendo Glory Tausi ameeleza kuwa No reforms No Election ya Mbowe ilikuwa na mlango wa kutokea kuelekea kwenye Uchaguzi, na anaamini wangeshinda na kutangazwa lakini No Reforms No election ya pili (ya Lissu) imekuja na nginjanginya ingawa bado anaaamini inaweza kuleta majibu pia.

View attachment 3476366
Source: Chief Odemba
Sawa Glory, fainali ya Kawe ni OKTOBA 29, tutasubiri matokeo yako kwa hamu tuone kama yatakuwa tofauti na ya CDM!
 
Hii ni dharau kwamba mbowe ndie mwenye hatima ya chama na sio wanachama wenyewe? So ikatokea mbowe ametoweka chama kitaendeshwa kwa video za mbowe au picha ya mbowe?🤔

Huyu sio mwanasiasa ni chawa wa tapeli wa kisiasa na anaonenaka alikuwa ana faidika na mfumo wa mbowe.
 
Hivi tatizo liko wapi? Mbona hayo maneno yanaeleweka vizuri kabisa. Swala la "Mbowe au Lissu" halina uzito wowote hapo. Sikilizeni Chama kimeagiza nini! Basi.
 
Hahaha anajiuma uma sana
Sasa mtu anasema nrne ya lissu ina mikikimikiki alafu anaenda kwenye linda kura , utalinda kura bila mikiki ? Wakati sheria zinataka upige kura na utawanyike

Huyu ni tapeli wa wazi
 
Sasa mtu anasema nrne ya lissu ina mikikimikiki alafu anaenda kwenye linda kura , utalinda kura bila mikiki ? Wakati sheria zinataka upige kura na utawanyike

Huyu ni tapeli wa wazi
Mizaha😂kumradhi si matusi ila uwezo wake wa kujenga hoja si mzuri sana
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Huo sasa umalaya, yeye atulie na ndoa yake huko aliko. Kumuongelea bwana mliyeachana ni jinsi gani ulipo huna furaha na huridhishwi..!!
 
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia ACT Wazalendo, Glory Tausi ameeleza kuwa No reforms No Election ya Mbowe ilikuwa na mlango wa kutokea kuelekea kwenye Uchaguzi, na anaamini wangeshinda na kutangazwa lakini No Reforms No election ya pili (ya Lissu) imekuja na nginjanginya ingawa bado anaaamini inaweza kuleta majibu pia.

Itakumbukwa pia Glory alikuwa ni miongoni mwa Kundi la G 55 ambao walitawanyika na kuelekea katika vyama mbalimbali vya siasa hapa nchini ikiwemo CHAUMMA na ACT Wazalendo.

View attachment 3476366
Source: Chief Odemba
Mbona hiyo mikakati wanashindwa kuitumia Chauma walikokwenda? Wamekua kama wendawazimu
 

Attachments

  • Addy_Adams_330p_20250917_124024.mp4
    175.4 KB
Back
Top Bottom