Greatest Majani
Member
- Dec 29, 2016
- 21
- 4
Nahitaji 30 nipo Geita naipata je?
Nenda kanunue China Mkuu, utapata kwa 300 moja, kwa nini ununue kwa 800 yote hiyo???Punguza zifike 800 au 900 tuje kuchukuwa na unapatikana wapi
ThanksDuka halifungwagi masika na jua
hehehe we kweli ni mtanzania halisi hatuna shaka na utaifa wako aisee
[emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6]Mbona umemjibia au upo humu Kwa kuaribia wenzio biashara zao, yeye mwenyewe kakaa kimya anafikiria Kama itamlipa au laa ili atowe jibu. Katika akili yako ume crame China tu au sio? Tuliza ball