Girlfriend wangu kanitongozea rafiki yake.

Naenda kwa likahaba lenzio li Anna ,ntumie namba ya jeni nianze kutumiana naye picha ili tuwe close,mwakani karibu harusi ya the only na mpenzi wangu Jeni
 
Yani ningempata girlfriend Kama Huyo wako ningeringa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Sharing is caring broo halafu kingine ladha ya nyama ya ndafu ni ileile broo we chagua moja either A au J maana kwa mwendo huo utamaliza dunia nzima ila pia nahisi birthday ya anna inakaribia hapo ndo uelewe maana ya sharing is caring baada ya hapo anna atakuunganisha na july (not real name)
Kama nakuona vile unavogeuzwa birthday party sponser broo hata serikali ndo hivo zinavoendeshwa ni kwa kutumia pesa za wahisani yaan wawekezaji kama ww!!!!!!
 
Wee mbandue ,kwani mwanamke yupo jeni peke yake . Ila hakikisha usimwambie gest gani mnaenda na mkifika gest nyang'anya simu usimruhusu ashike simu anaweza kumtumia sms jeni mpo gest na chumba na. Ili wakufamanie. Mimi nimekwepa mitego kama hyo mingi sana
 
Aisee unajua wewe uko right sana. Hoping hata ktk real life uko hivi. Shida utakuta your husband doesn't see this side of yours. Be blessed sana mdada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"wengine niliwapeleka mimi na gari kwa sababu ilikuwa night sana na mmoja wapo ni uyo Anna.

Baada kama Siku kadhaa nikiwa nae geto nilimuliza kama wale rafiki zake walifika salama, akajibu ndio. Nikamuliza na Anna je? Akajibu ndio"

Bila shaka hili ni PICHA LA KIHINDI
Ndiyo maana mwishoni unatulazimisha tuamini, pumbaf* saaana!! #ShuleZifunguliweTuu
 
Watu unawapeleka wewe na gari alafu unamuuliza mwingine km wamefika salama...

Cha kushukuru ni kuwa nimeupitia uzi wako tu...

Ila maswal ya kisee km haya ni ujinga wa kutokujua kufanya maamuzi.

Unaomba ushauri gani sasa hapa?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo wanataka wakuchune Wakudange tuu,hakuna kitu kama hicho.Hiyo kitu ilinitokea wayback pamoja na kula tuhela twangu sikufanya ajizi nilipita nao.Baada ya kukutokea purukushani (mmoja alikuta mwenzie yupo geto anatundikiwa drip) ndiyo ukawa mwisho .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama jane umeshakula unasubiri nini kula ana?
We mkule tu watajuana wenyewe,mkiachana poa tu ushakula wote tatizo nini?
Hakuna kukolea kwa wanawake siku hizi,kupenda kitu gani umependa ziwa la mama yako umeliacha na sasa hutaki hata kuliona,itakua hao mliokutana ukubwani?
Kama ungekua mdogo wangu nakupiga makonzi mpaka sasa kwa nini hujakula huyo anna
 
Ili kuwa kwenye safe side mwambia anna unadate na jenipha ili ukija kumla kusiwe na kusema umenidanganya
 
Ushauri wangu una kipaji cha utunzi,vipi ukifikiria utunzi wa hadithi za mapenzi kama shigongo au mtunzi wa movie?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…