Angekuwa si malaya ungewezaje kumtoa bikra nje ya ndoa?
Jee, ulikuwepo wakati anatekwa na bastola? Au ndio story aliokupa yeye?
Usiwe ****, kama hiyo story kakupa yeye basi kakudanganya kijinga nawe umeingia mkenge kwa kuwa unamuamini sana.
Umechezewa bonge la movie
Wakati unamdoubt mpenzio; kama wengine wanavyoshauri! Jiulize; kama alipanga, kulikuwa na haja ya kukuambia? Si umesema uko mbali naye? After all she is no longer a virgin; angeweza kupotezea! Unamjua mpenzi wako, sisi hatumjui, uamuzi ni wako!
Hakuna ushahidi ndugu yangupeleka polisi huyo mtu! Ana makosa mawili, la kubaka na kutishia kwa bunduki! Watch out, kaonja asali atarudia tena na sasa itakuwa bila mtutu!
1. Huyo Doctor alimtibu Bint akiwa form 2.???Umechezewa bonge la movie
Great thinker ni mara yangu ya kwanza kuweka bandiko humu jf,nimekuwa nikitembelea kwa muda hadi nilipoamua kujiunga na nimeona baadhi yenu mkitoa ushauri mzuri tu kwa watu wanaopatwa na masahibu mbalimbali.
Nina msichana ambaye nilikuwa nafahamiana nae tangu 2009,kwa sasa anasoma taasisi ya uhasibu tanzania mwaka wa kwanza kuna jamaa alikuwa dr wa kituo kimpja cha afya tabata ambacho kimefungwa na serikali ambaye aliwahi kumtibu huyu girlfriend wangu akiwa form two amemteka pale chuoni kwao kwa kumshikia bastola na kumlazimisha kufanya nae mapenzi,kampora simu niliyokuwa nimempa huyo msichana,am confused gt,huyu msichana nilikuwa nimepanga awe mke wangu mwaka ujao tukio hili limeniacha njia panda,nimuache kutokana na hili tukio au niendelee nae?Hili tukio limetokea usiku wa kuamkia jana.
Note:huyu msichana is one of those good girls nimemtoa bikra mwenyewe feb this year,hanywi pombe naomba asichukuliwe kama labda malaya.
Nina wasiwasi na hii stori,mwanamke wa hapa bongo abakwe halafu aende kuoga ndio aende polisi ? tena mwanafunzi wa chuo ? something is not right somehow ???Mkuu kabla ya kukupa ushauri naomba kwanza kujua chanzo chako cha hii habari ni nani? Yaani nani kakupa habari ya kubakwa huyu binti?, na fafanua japo kwa ufupi namna alivyokuelezea! yaani ilitokeaje?
tuanzie hapo.
Nina wasiwasi na hii stori,mwanamke wa hapa bongo abakwe halafu aende kuoga ndio aende polisi ? tena mwanafunzi wa chuo ? something is not right somehow ???
Amefumwa sasa mwanamke anasingizia kabakwa, njia mbaya kweli ya kujiteteaNina wasiwasi na hii stori,mwanamke wa hapa bongo abakwe halafu aende kuoga ndio aende polisi ? tena mwanafunzi wa chuo ? something is not right somehow ???
<br />Jamaa alikwenda pale akampigia simu niko chuoni kwenu naomba kukuona,gf wangu akamwomba mwenzie amsindikize mwenzie akamwambia we tangulia nakuja,kufika jamaa akamwona akamwashia taa akamfata,akamsalimia jamaa akamwambia ingia kwenye gari kwani unaniogopa akamwambia siwezi kwa sababu nina haraka akamwomba demu akaona haina shida kuingia tu kwenye gari jamaa kamtolea hiyo bastola,akamwambia tulia la sivyo nitakufumua ubongo,then jamaa akatoa gari kufika getini bastola kamwekea kiunoni,akaendesha gari msichana hajui walienda hadi wapi akamnyanga'anya simu akaanza na mengine hayo ya kumlazimisha kudo akamrudisha hadi chuo then akamwambia unitafute usiponitafuta nikikutafuta mm utakuwa kwenye matatizo zaidiMkuu kabla ya kukupa ushauri naomba kwanza kujua chanzo chako cha hii habari ni nani? Yaani nani kakupa habari ya kubakwa huyu binti?, na fafanua japo kwa ufupi namna alivyokuelezea! yaani ilitokeaje?<br />
<br />
tuanzie hapo.
Kuna possibility pia ya kuwa ni kisasi, Pengine mdada alikuwa na good time na Dr na sasa amekosana na Dr so anaamua kutumia mwanaume wake ili akomae na Dr kulipiza kisasi. Pia inawezekana Dr amehasimiana na mdada na sasa anataka kulipua bomu na mdada kaamua aweke kinga kabla hayajamwagika. Inawezekana kabakwa kweli, inawezekana ameambukiwa au ujauzito. All in all inategemea mdada anajielezea vipi na hili tukio. Mleta mada inabidi awe makini na achunguze kwa kina kabla kukubaliana na possibility yoyote.Amefumwa sasa mwanamke anasingizia kabakwa, njia mbaya kweli ya kujitetea