Wewe! Ivi hujui kama kunanjia kuu mbili za kutongoza; Direct na Indirect or Express na implied!
Haya fanyaivi: Ukimuona jifanye kama unamawaaazo! Akikuuliza (hata asipokuuliza) mwambie unahitaji ushauri wake, mwambie kuna mdada unampenda kama ni kazini, masomoni or kitaa (hakikisha humtajii mazingira ya kujistukia) mtajie jina la kubuni la huyo mdada ktk mazingira tofauti na unavyoishinae, mwambie ukimwambia ukweli huyo mdada unaweza kuharibu kazi, masomo or urafiki. Msistize huyo mdada unampenda sanaaa! Then majibu yake itakua ndio njia ya kumface direct, unaweza kumwambia uyo mdada ni wewe (serious) or kama unapicha yake unaweza kumwambia "nikuoneshe picha yake basi"(serious)!
Hahahahahahaaa..! Stay safe, Don try thiz at home!