Gharama za uhamisho halmashauri ni bei gani?

Gharama za uhamisho halmashauri ni bei gani?

rmbm

New Member
Joined
May 15, 2025
Posts
2
Reaction score
3
Gharama za posho za uhamisho kutoka halmashauri Moja kwenda nyingine ni kiasi gani? Na je halmashauri utokayo hutalipwa chochote?

Nazungumzia uhamisho wa serikali
 
Pitia standing order
Uongo mbaya,nime download nimepitia ila hakuna ninachoelewa, halafu , naomba unisaidie kitu kimoja kwenye barua ya uhamisho jina limeandikwa kimakosa ,lahma badala ya rahma,cha ajabu nakwena halmashauri wananiambia hizo ni herufi tu hazina shida ,usijali,je kwa uelewa wenu haita niletea shida???
 
Uongo mbaya,nime download nimepitia ila hakuna ninachoelewa, halafu , naomba unisaidie kitu kimoja kwenye barua ya uhamisho jina limeandikwa kimakosa ,lahma badala ya rahma,cha ajabu nakwena halmashauri wananiambia hizo ni herufi tu hazina shida ,usijali,je kwa uelewa wenu haita niletea shida???
waambie wakubadilishie,pili gharama Hr ndiyo anapiga hiyo hesabu hakuna specific amount ila sheria imetoa wajibu wa muajiri kutoa gharama za usafiri tu.
 
Back
Top Bottom