Gharama za Travel Insurance

DENAMWE

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2019
Posts
871
Reaction score
885
Nahitaji kusafiri kwenda nchI kadhaa kwa siku 18.

Nitasafiri kwa ndege na kwa meli.

Nimeambiwa niandae Travel Insurance.

Hii ikoje, umuhimu wake, inakopatikana na gharama zake.

Karibuni mnijuze.
 
Inategemea na airline, inaanzia USD 50 kama sikosei.

Na kama hujui maana ya insurance Mimi sina namna ya kukusaidia labda uliza NHIF au wenye magari kwa nini wanakata insurance.
 
Inategemea na airline, inaanzia USD 50 kama sikosei.

Na kama hujui maana ya insurance Mimi sina namna ya kukusaidia labda uliza NHIF au wenye magari kwa nini wanakata insurance.
Asante sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…