habari zenu wadau, naomba mnisaidie kwa anaefahamu gharama za kusoma PGDE UDSM, ada zake kwa ujumla. nimeangalia kwenye web yao nimepata fomu tu. thanks.
udsm ni tsh milion 3 laki 2 na ushee, udom ni tsh 1750000, chuo kikuu cha arusha(wasabato) ada ni Tsh milion 2. Open univ. Cjajua bado ila nafikiri itakuwa rahisi zaidi (hope less than 2 million).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.