RAJAB MPELLA
Member
- Sep 23, 2015
- 19
- 10
Napenda nifahamishwe kwa wenye uelewa gharama za masomo kwa Open University of Tanzania zipoje kwa shahada na masters mwenye uelewa atoe info
Hahahahhahahhaaaaaaa
Kila chuo kina website na information zote zinapatikana kule, sasa hapa ni kusumbuana tu.Hahahahhahahhaaaaaaa
Ushauri mzuri sana
Open university ni ngumu sana kusema moja kwa moja ada ni shilingi api kwasababu wao wanalipa kwa uniti...kila somo lina unit zake sasa ili ujue gharama halisi unakuta inabidi ujue utasoma unit ngapi na kwa degree kila unit moja ni 60000 na masomo mengine yana unit hadi mbili kwahiyo wafuate wenyewe wakuelekeze zaidi
Kwa shahada ni 60,000 kwa unit na ili umalize minimum requirement kwa mujibu wa TCU ni unit 32Napenda nifahamishwe kwa wenye uelewa gharama za masomo kwa Open University of Tanzania zipoje kwa shahada na masters mwenye uelewa atoe info
Aiseeee hii masters inanihusu naona kwa unit 18 inanibidi niwe na mil. 3.24 ambapo na mambo mengine inaweza fika 5Mil.Kwa shahada ni 60,000 kwa unit na ili umalize minimum requirement kwa mujibu wa TCU ni unit 32
So unapiga 32 mara 60,000 unapata ada yako kwa miaka 3.
Kwa Masters ada ni 180,000 kwa unit.
Minimum requirement kwa mujibu wa TCU ili ugarduate ni unit 18.
Unapiga 18 × 180,000 unapata gharama zako za tuition fee kwa 2 years.