Gharama za kusoma Diploma chuo cha Kleruu

Gharama za kusoma Diploma chuo cha Kleruu

Korozoni

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2016
Posts
264
Reaction score
106
Samahani,naomba kujulishwa kuhusu gharama za kusoma "STASHAHADA YA UALIMU WA UFUNDI SEKONDARI katika chuo cha KLERUU-IRINGA.

Kama kuna anaye/aliyesoma hapo anisaidie tafadhali.

Pia kama kuna chuo mbali na hicho kinachotoa stashahada hiyo naomba kujulishwa.

Shukrani.
 
yani kwenye elimu wavivu kutoa ushauri
. ingekuwa kwa wasafi wcb yavunjika au mke wangu analazmisha 0712 wachangiaji kibao
 
Ingia website ya wizara ya elimu, moest. go. tz wameweka joining instructions za vyuo vya serikali za sasa, utaiona ya kleruu, utapata maelekezo muhimu
 
Ingia website ya wizara ya elimu, moest. go. tz wameweka joining instructions za vyuo vya serikali za sasa, utaiona ya kleruu, utapata maelekezo muhimu
shukrani sana
 
Ingia website ya wizara ya elimu, moest. go. tz wameweka joining instructions za vyuo vya serikali za sasa, utaiona ya kleruu, utapata maelekezo muhimu
bahati mbaya kifaa changu hakiwezi kupakua documents,labda unisaidie ku-screenshot sehemu ya malipo kama inawezekana kufanya hivyo,kisha upload
 
1479710799553.png
1479710807177.png
 
Naomben kujua kuhusu stashahada y sekondari Sifa wamesema n principle pasi 2,je principle pas hiyo wanayotaka n D au E maana c elewe
 
Kwa wale wa kidato cha nne wenye div I-III,kuna kigezo kinasema,wawe na ufaulu wa kiwango cha "CREDIT" katika masomo 2 ya ufundi ikiwemo Drawing,Hisabati,Engineering Science au Kemia.Hapo pamenichanganya kidogo,Je,wanamaanisha kwamba credit ziwe kwenye masomo hayo yaliyotajwa au ni kwa yale ya ufundi ambayo ni kama vile Surveying,Woodwork,Electrical Engineering na mengineyo?

Kwa mfano mwenye ufaulu huu


Basic Mathematics-C


Engineering Science-C


Chemistry-B



Drawing-D


Surveying-D



Building Construction-D


Kiswahili-C


English-C


Civics-C


Na yanayobaki yote ni C ambayo ni sawa na Division II-20

Je,anaweza kuchaguliwa?
 
Back
Top Bottom