Kule Kwetu JF-Expert Member Jan 10, 2016 3,157 1,894 Feb 24, 2016 #3 Kama mgombea anajiamini kuwa anaongoza vyema na kuwaletea wananchi maendeleo hatatumia pesa zake kuhonga wananchi wala kamati zake. Na kama ni anayetetea kiti chake basi Wananchi watampima kwa kurefer alichofanya mfano kama alitimiza ahadi zake.
Kama mgombea anajiamini kuwa anaongoza vyema na kuwaletea wananchi maendeleo hatatumia pesa zake kuhonga wananchi wala kamati zake. Na kama ni anayetetea kiti chake basi Wananchi watampima kwa kurefer alichofanya mfano kama alitimiza ahadi zake.