gharama ni kama ifuatavyo
1. Tsh 50,000 ada ya mtihani
2. ada ya kituo hutofautiana ila ni kati ya Tsh. 20,000 hadi 25,000
3. ada kwa ajili ya malipo Posta Tsh 7500
4. usajili ORES nao hutofautina ila ni kati ya 4500 hadi 6000
NAKUTAKIA MAANDALIZI MEMA