Gharama za kuanzisha biashara ya Bakery

MAKULUGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
8,097
Reaction score
10,946
kuna soko nimeliona la mikate na maandazi kijiji fulani,naona panafaa kufungus kabekary kadogo,<kijiji kins watu kama elfu tano ,ukijumlisha na vijiji vys pembrni wanafikia elfu 10+
Naomba kufahamishwa gharams za kuanza biashars hii,mf vifaa,upatikanaji wake bei ukubwa wake .kulingana na soko nk
 
Kijijini watu wanakula mikate? Sijui labda viazi vitamu, mihogo na magimbi viadimike, vinginevyo ni sawa na kufungua duka la spea za boti Morogoro
 
Kijijini watu wanakula mikate? Sijui labda viazi vitamu, mihogo na magimbi viadimike, vinginevyo ni sawa na kufungua duka la spea za boti Morogoro

Vijiji vimeendelea mkuu,
Au ww hujui kutofautisha kati ya kijiji na shamba??
 
mtu kaona fursa mtu anamletea masihara hao watu ni wengi sio wote watakula viazi au magimbi na sio wote watakula mikate ni yale yale mpo wote dar office moja lakini mwenzenu ana range mwingine collora mwingine anakwea daladala kila siku so hiyo ni fursa mwenye mawazo amsaidie sio masihara wengine tunapekua humu kujifunza pia
 
mwambie Gamba huyo,kijiji ninachokizungumzia hakijui afu ana bwata!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…