Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 9,473
- 19,269
Amekupiga parefu sana, mara mbili yake. We agiza lori kubwa la kokoto, agiza roli la mchanga, nunua mwenyewe mifuko ya sumenti, halafu ahirisha kwenda kazini siku hiyo mwambie fundi leo tutafanya kazi pamoja na wewe.
Halafu uone kama hiyo gharama itafika. Mimi kwenye nyumba yangu siku wanafanya vitu vya maana, kuanzia umwagaji wa zege, nilikuwa siendi kazini, navaa nguo za kazi naenda kushinda hapohapo, wakiwa wanakoroga zege na mimi nakoroga, kubeba zege, kila kitu. Nimekuja kujua mafundi ni wezi sana.
Halafu uone kama hiyo gharama itafika. Mimi kwenye nyumba yangu siku wanafanya vitu vya maana, kuanzia umwagaji wa zege, nilikuwa siendi kazini, navaa nguo za kazi naenda kushinda hapohapo, wakiwa wanakoroga zege na mimi nakoroga, kubeba zege, kila kitu. Nimekuja kujua mafundi ni wezi sana.