Gharama ya kununua Subwoofer

Gharama ya kununua Subwoofer

Kibundi wa getto

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2013
Posts
455
Reaction score
878
Mimi bajeti yangu ni 150000 - 250000.Naomba kufahamishwa ni sabufa gani imara na Ina mziki mkubwa na ulio tulia kulingana na bajeti yangu.
 
Nipe laki mbili nikuuzie yangu .nmetumia kidogo. Sea piano . Mziki mnene
 
Nashukuru, ngoja nikatafute madukani japo sijui nikimwambia muuza duka nipe Sea Piano atanipa kama hiyo
 
HZO SEAPIANO KKOO LAKI 1 na 40 tu...nikushauri kama unataka mzk kama wangu nenda kkoo wanapouza miziki ya magari, nunua woofer sony exploid iliyo ndan ya box lake utapta kwa 100000,nunua redio ya gari sony elfu 90, nunua booster 1000W laki 1, NUNUA TWEETER MBILI UKPATA ZA MTUMBA POA UNAWEZA PATA KUANZIA ELF 20, KSHA NUNUA STABILIZER AMBAYO INATOA VOL 12 AMBAYO NI DC. nenda kafunge geto utaniambia
 
Back
Top Bottom