Ndibalema angeachwa tu chadema tujifunze kuwa wavumilivu hii timuatimua si busara sana. Mtu ameshajivua vyeo ndani ya chama aachwe aendelee kuwa mwanachama wa kawaida hakuna impact yoyote. Hili lilifanyika pia kwa Dady Igogo kule Iringa, ningependa option ya kutimuana iwe ya mwisho pale mtu anapokuwa ameshindikana hasa na siyo option ya kwanza.