chaz beezz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 217
- 841
Dah! Hawaa madem wanao ishi kigeto geto ni wakuwa nao makini saaanaaa. Unaweza kujiona umefika kwamba we ndo kidume umepata pisi inageto lake unaenda unajisevia muda wowote utakavyo, mzee unajidanganya hauko peke yako Kuna vidume Kama wewe kibao tu wanapangwa vizuri tu kwa ratiba za kufika hapo geto kwajili ya kujisevia papuchi.
Nakuambia mzee wangu unajidanganya jaribu kuchunguza utarudi kunishukuru utagundua kuna wenzako kama wewe mnaoshirikiana kulipa kodi na kutoa mahitaji ya ndani bila kujijua.
Hii imenikuta Jana usiku Kuna pisi moja Kali tu ipo mtaa wa pili na hapa ninapoishi zimepita siku tumekubaliana tuonane ikapanga mahali pakukutana ambapo ni getoni kwake kwajili ya mnyaduano.
Mchizi nikaona siyo kesi mtoto mkali mkali aafu nilikua namfukuzia kitambo Leo kanitafuta anadai niende kwake so nilienda kwake mida ya saa 5 usiku akasema hana bwana.
Khaaaa sinikaenda hadi chumbani kwake namie nikajiachia nikampa show ya kibabe kumbe kuna boy mwenzangu mmoja kalipa kodi siku3 zilizopita hiyo siku nae aliamua Kuja bila taarifa akafika pale geto na kukuta mazingira ya tofauti jamaa akatega sikio dirishani kwa demu akasikia sauti kwa ndani zinamtatiza.
Hapo mzee nishapiga cha1 cha2 ile naenda cha3 sasa nakitafuta cha3 kilivyo kigum kutoka, miguno kama yote nikasikia jamaa akiita Aisha Aisha we Malaya nifungulie mrango daaaaah, nilinywea ghafla nikamuuliza taratiibu nani huyo akasema achana nae uyo bwege yaani kikodi alicholipa cha miez 3 kinamtoa roho kweli hakufungua mlango jamaaa akaenda kinyonge huku akitukana, we Aisha malaya sana nitakuonesha jaamaaa
Demu ndo kwanza hajali wala haoneshi dalili ya wasi wasi lakini kwangu me Ile Hali ilinitoa mchezoni kabisa nikaamua kuhairisha mechi nikavaa na kuamua kusepa zangu kwangu.
So OGOPA Sana demu mwenye geto, so wako tu na huwezi kuenjoy vzr mnyaduo sababu hauwezi kuwa huru, nimeamua siwezi Tena kwenda getoni kwa demu
Nakuambia mzee wangu unajidanganya jaribu kuchunguza utarudi kunishukuru utagundua kuna wenzako kama wewe mnaoshirikiana kulipa kodi na kutoa mahitaji ya ndani bila kujijua.
Hii imenikuta Jana usiku Kuna pisi moja Kali tu ipo mtaa wa pili na hapa ninapoishi zimepita siku tumekubaliana tuonane ikapanga mahali pakukutana ambapo ni getoni kwake kwajili ya mnyaduano.
Mchizi nikaona siyo kesi mtoto mkali mkali aafu nilikua namfukuzia kitambo Leo kanitafuta anadai niende kwake so nilienda kwake mida ya saa 5 usiku akasema hana bwana.
Khaaaa sinikaenda hadi chumbani kwake namie nikajiachia nikampa show ya kibabe kumbe kuna boy mwenzangu mmoja kalipa kodi siku3 zilizopita hiyo siku nae aliamua Kuja bila taarifa akafika pale geto na kukuta mazingira ya tofauti jamaa akatega sikio dirishani kwa demu akasikia sauti kwa ndani zinamtatiza.
Hapo mzee nishapiga cha1 cha2 ile naenda cha3 sasa nakitafuta cha3 kilivyo kigum kutoka, miguno kama yote nikasikia jamaa akiita Aisha Aisha we Malaya nifungulie mrango daaaaah, nilinywea ghafla nikamuuliza taratiibu nani huyo akasema achana nae uyo bwege yaani kikodi alicholipa cha miez 3 kinamtoa roho kweli hakufungua mlango jamaaa akaenda kinyonge huku akitukana, we Aisha malaya sana nitakuonesha jaamaaa
Demu ndo kwanza hajali wala haoneshi dalili ya wasi wasi lakini kwangu me Ile Hali ilinitoa mchezoni kabisa nikaamua kuhairisha mechi nikavaa na kuamua kusepa zangu kwangu.
So OGOPA Sana demu mwenye geto, so wako tu na huwezi kuenjoy vzr mnyaduo sababu hauwezi kuwa huru, nimeamua siwezi Tena kwenda getoni kwa demu