Get Rich OR Die Trying: Vijana wa Bongo tumepoteza uelekeo, ni muda wa kubadilika

lara 1

JF-Expert Member
Jun 10, 2012
15,700
29,111
Anyeonghaseyooooooooooooooooo!!!!!!

Raisi wetu wa awamu ya tatu His excellency Ndugu Benjamin William Mkapa alitutaka wananchi kutokuingojea serikali na kujiletea maendeleo wenyewe. Alipenda sana kutumia msemo wa MTAJI WA MASIKINI NI NGUVU ZAKE MWENYEWE! Na mimi leo napenda kuwakumbusha wito wa Raisi wetu wa awamu ile.

MMU mnaniboa mno mno kwa falsafa yenu ya 1920's iliyojaa u-communist usio na tija kwa kuwataka watu waridhike na umasikini, waohope kuwaza mambo makubwa, waogope ku dare to try, wakubali bitter fate zao kubakia insignificant. In the name of being humble, having a sense of humor, dignity, and all other illusions to make you feel good about your inaccomplishment, your failure, your state of giving up.

Times have changed, Socialist era is over, communism was inefficient ndo maana ulijiua wenyewe, we live in a Capitalist world where more is preferred to less. EVERY BODY FOR HIMSELF AND GOD FOR US ALL. We are living the time where failure is failure and can afford to be given another name.

Naelewa kwa nini watu wamekuwa waoga hata kuota au kujaribu kitu. Hata ukiwaza mbali kidogo tu unaonekana mwehu! The society has never been kind enough! Watu watakukatisha tamaa asilimia 99 ili ubaki kama wao. Uende wapi? Sasa tunajenga kizazi kilichoganda! Vijana ndo chachu ya mabadiliko karne zote ila hapa bongo vijana wapo wapo. Hawana ndoto, malengo wala chochote.

Mtu uki dream big kosa, ukiona the bigger picture tabu, unaonekana unapambana na upepo. Jamii imeshupalia kukwambia tangia mdogo kwamba you are nothing, and there is nothing you can do anyway bora tu ukubali kuwa nothing usijichoshe, manake hata ukijitutumua hatma yake utabakia nothing yule yule mwenye hasara. Yatisha hii hali si kidogo. Na ukiwa mwepesi basi unajikatia tamaa tu. Ufanyaje sasa? Ukisoma kazi hamna, zilizopo bora mkono uende kinywani, ukianzisha biashara mtaji unakata, ukiolewa mwanaume kapuku, akiwa hela ana ukimwi, inaitwa NO WAY OUT SCENARIO,! Ndo maana huku uswazi tunaishia kupigana Free P kwenye mechi za mchangani na kuzaana basi. NDO FATE YETU TENA HIYO TUFANYE VIPI.? We have long forgotten about living we are just surviving. Kesho hatujui itakuwaje.

Ukishakubaliana nao kwishaaaa. Ndo unaishi kungojea mwisho wa mwezi mpaka unazeeka. I SAY BULL SHIT! Vijana tusikubaliiii! DREAM BIG! Haikugharimu chochote ku dream big! Always yearn to fit in the bigger picture. Weka malengo yako 10yrs plan, 20yrs plan kwamba ifikapo huo mda uwe stage flani. Ukiwa na direction utakaba juu chini kufika. Kila utachofanya utakuwa unajua unaenda wapi. Hautakuwa an iddle mind. Hata ukipata hela hiz ndogo ndogo tayari zipo kwenye plan hutozichezea.

COMITTMENT, GOALS, AMBITION, DETERMINATION NA PERSVERENCE IS THE NAME OF THE NEW GAME. Panga malengo kuwa COMMITED WITH YOU LIFE kwenye hayo malengo. No matter what you should not give up kwenye hayo malengo. The ealier the better. Ukiajiriwa mhasibu, day 1 ofisini jiapize kwa biblia "LAZIMA NIWE CHIEF OF FINANCE HUMU IN 10YRS NO MATTER WHAT, NIKISHINDWA NA KUJIFAIL MWENYEWE MUNGU USINIPE TENA KAZI KOKOTE, MUNGU NISAIDIE! "

Hii ndio levo ya comittment ninayoiongelea; unachoma madaraja yote ya kurudi nyuma! Trust me ACCA, CFA, CPA utazipata kama maji, ukikumbuka umejiapiza hutodhubutu kujipa luxury ya kufeli. Hata biashara unajiapiza "MUNGU NIKIUA HII BIASHARA USINIPE TENA MTAJI WA BIASHARA YOYOTE! Biashara haitokufa manake iko COMMITED NA FUTURE YAKO! Uchumi wa China umejengwa hivi, ukianzisha biashara ikifa au ikifeli UNAJIUA MWENYEWE PASIPO KUSIMAMIWA! Failure haikuwa tolerated na mambo yalisonga. Inatakiwa ifikie mahala uki graduate unaweka malengo makubwa, makali, kuwa ifikapo mwaka flani kama hujawa mtu mwenye nyadhfa flani unarudi kijijini kulima na kulewa pombe baaas! Manake umejifelishaaaa! Hutofanya uzembe.

I aint sayin itakuwa rahisi, utafanikisha mara moja, it will be harder than your worst imigination but have to stay focused! Kadri unavopiga hatua mikwazo mikubwa mikubwa itaibuka but remember STAY FOCUSED! Hadaa pia zitatokea kukutaka ujirelax, urizike na huto tu hatua ulitopiga, STAY FOCUSED AND COMMITTED.

Kuna ile hulka ya kujiona mimi mtu mdogo sanaa, mtoto wa mkulima nitafanyaje wakati fate yangu ndo hivo tena ni Unkind! Nitawesa kweli au natafuta pressure tu na kisukari! Napenda kukumbusha UKIAMUA UNAWEZA! Mambo mengi makubwa duniani yamefanywa na watu wadogo mno mno! Hata mtu akikudharau huwezi kuachieve chochote kumbuka Mende kaangusha kabati mara nyingi mno kwenye historia za dunia. UKIAMUA, UKAJICOMMIT NA MAISHA YAKO, IKAWA EITHER UFANIKISHE HIKO AU NO WAY OUT UTAFANIKISHA! Wachache ni hawa ambao mimi wananipa nguvu mnoo at times.

Mheshimiwa Rashid Mfaume Kwawa Waziri Mkuu Mstaafu Alitokea Lindi, alikuja mjini na begi languo, hakusoma sanaa, alikuwa dreva tax posta. Huyu na madreva tax wenzie they saw a bigger picture ya INDEPENDENT TANGANYIKA! Imagine by 1950 wabongo kibao walikuwa washoenda nje kwenye vita vya dunia, wengine kusoma ila walijibweteka tu. Hawa watu wadogo, wasio na elimu, wasio watoto wa machief, waganga njaa wa Posta ndo walio DARE TO DREAM AND SEE THE BIGGER PICTURE! Na waliji-commit na maisha yao, kuanzisha harakati za kumshika Simba sharubu si kwa manufaa yao bali walistick their necks on the line kuwakomboa wotee na wale waliokuwa wanakula bata common wealth. Wengi waliuawa, ila waliobaki wakarudi on the line kuendeleza harakati ili waliokufa wapumzike kwa amani wasione wamekufa bure. Wakauwawa zaidi na zaidi na wakapambana zaidi na zaid. Like i said Late Kawaww was a man of BIGGER VISION, BIGGER PICTURE, akaona TIMES HAVE CHANGED, wao hawajasoma, wana will to fight ila hawana strategy, hawana exposure hawana ability ya kupambana level za juu. Ndo wakaanza kurecruit WASOMI kila Late.

Mwalimu na wengi walikubali since waliahidiwa nafasi kwenye hio GREENER FUTURE! Commbination ya Wasomi na Wanamapinduzi was Epitome! In the end japo hakuwa msomi sanaa Late Rashid Kawawa had an happy ending, alishika nafasi kubwa kubwa nchini, alienda nchi mbali mbali, na liongoza wasomi wa common wealth. HE COULD HAVE DIED A POOR TAX DRIVER BUT HE DARED THE DEVIL, CHALLANGED HIS FATE AND MADE A LIFE FOR HIMSELF FROM NOTHING TANTALILA TU ALIZOKUWA ANAPIGA ZA UKOMBOZI.

Je, wewe kijana si Msomi kuliko Late Rashid alivokuwa umri wako, je huna hela nyingi bank kumzidi alivokuwa umri wako? Hauko exposed kumzidi wakati ule THEN WHAT ARE YOU WAITING FOR.? GOD TO COME DOWN AND RESCUE YOU? GET RICH OR DIE TRYING!
 
mmmh, wanakuchosha siims, si tunaamini in do wot u fil ila itapendeza itapendeza isikere wengine
 
new world order is now covering up the progress ,yote uliyosema ni sawa but mean nothing ,simple life ,heaven is home,we arent safe here trust me lara 1
Communism at work! Hahahahaaaaaa! Ndo mawazo yetu fungu la kukosa siku zote! UMESAHAU POINT MUHIMU UKIFA UNAENDA NAVYO KWANI.? Hahahaaa!
 
wasichana ndo kabisaaa.ukimnunulia cm tu daa utakula unavyotaka...loading error....
Hahahahaaaa! Ndo tushajichokea mtu afanyaje sasa! Bila hata simu, saingine maisha yana boa mpaka basi, mnakiwa mnapeana mazoezi tu! Mmepewa bure mnagaiana bureee!
 
lara 1 .......

Uko sahihi leo sijui umetumia laptop au simu mpyaaa.... very wise thread.
Think big..........huwa naamini bora nitafute 10M, kuliko kutafuta 10K kwani nkikosa 10M ntaangukia >5M , ila nkitafuta 10K nkakosa ntaangukia >5K .

Bora uote kikubwa ili upate karibia na kikubwa.
 
Last edited by a moderator:
Anyeonghaseyooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo!!!!!!

Raisi wetu wa awamu ya tatu His excellency Ndugu Benjamin William Mkapa alitutaka wananchi kutokuingojea serikali na kujiletea maendeleo wenyewe. Alipenda sana kutumia msemo wa MTAJI WA MASIKINI NI NGUVU ZAKE MWENYEWE! Na mimi leo napenda kuwakumbusha wito wa Raisi wetu wa awamu ile.

MMU mnaniboa mno mno kwa falsafa yenu ya 1920's iliyojaa ucommunist usio na tija kwa kuwataka watu waridhike na umasikini, waohope kuwaza mambo makubwa, waogope ku dare to try, wakubali bitter fate zao kubakia insignificant. In the name of being humble, having a sense of humor, dignity, and all other illusions to make you feel good about your inaccomplishment, your failure, your state of giving up.

Times have changed, Socialist era is over, communism was inefficient ndo maana ulijiua wenyewe, we live in a Capitalist world where more is preffered to less. EVERY BODY FOR HIMSELF AND GOD FOR US ALL. We are living the time where failure is failure and can afford to be given another name.

Naelewa kwa nini watu wamekuwa waoga hata kuota au kujaribu kitu. Hata ukiwaza mbali kidogo tu unaonekana mwehu! The society has never been kind enough! Watu watakukatisha tamaa asilimia 99 ili ubaki kama wao. Uende wapi? Sasa tunajenga kizazi kilichoganda! Vijana ndo chachu ya mabadiliko karne zote ila hapa bongo vijana wapo wapo. Hawana ndoto, malengo wala chochote.

Mtu uki dream big kosa, ukiona the bigger picture tabu, unaonekana unapambana na upepo. Jamii imeshupalia kukwambia tangia mdogo kwamba you are nothing, and there is nothing you can do anyway bora tu ukubali kuwa nothing usijichoshe, manake hata ukijitutumua hatma yake utabakia nothing yule yule mwenye hasara. Yatisha hii hali si kidogo. Na ukiwa mwepesi basi unajikatia tamaa tu. Ufanyaje sasa? Ukisoma kazi hamna, zilizopo bora mkono uende kinywani, ukianzisha biashara mtaji unakata, ukiolewa mwanaume kapuku, akiwa hela ana ukimwi, inaitwa NO WAY OUT SCENARIO,! Ndo maana huku uswazi tunaishia kupigana Free P kwenye mechi za mchangani na kuzaana basi. NDO FATE YETU TENA HIYO TUFANYE VIPI.? We have long forgotten about living we are just surviving. Kesho hatujui itakuwaje.

Ukishakubaliana nao kwishaaaa. Ndo unaishi kungojea mwisho wa mwezi mpaka unazeeka. I SAY BULL SHIT! Vijana tusikubaliiii! DREAM BIG! Haikugharimu chochote ku dream big! Always yearn to fit in the bigger picture. Weka malengo yako 10yrs plan, 20yrs plan kwamba ifikapo huo mda uwe stage flani. Ukiwa na direction utakaba juu chini kufika. Kila utachofanya utakuwa unajua unaenda wapi. Hautakuwa an iddle mind. Hata ukipata hela hiz ndogo ndogo tayari zipo kwenye plan hutozichezea. COMITTMENT, GOALS, AMBITION, DETERMINATION NA PERSVERENCE IS THE NAME OF THE NEW GAME. Panga malengo kuwa COMMITED WITH YOU LIFE kwenye hayo malengo. No matter what you should not give up kwenye hayo malengo. The ealier the better. Ukiajiriwa mhasibu, day 1 ofisini jiapize kwa biblia "LAZIMA NIWE CHIEF OF FINANCE HUMU IN 10YRS NO MATTER WHAT, NIKISHINDWA NA KUJIFAIL MWENYEWE MUNGU USINIPE TENA KAZI KOKOTE, MUNGU NISAIDIE! " Hii ndio levo ya comittment nayoiongelea unachoma madaraja yote ya kurudi nyuma! Trust me ACCA, CFA, CPA utazipata kama maji, ukikumbuka umejiapiza hutodhubutu kujipa luxury ya kufeli. Hata biashara unajiapiza "MUNGU NIKIUA HII BIASHARA USINIPE TENA MTAJI WA BIASHARA YOYOTE! Biashara haitokufa manake iko COMMITED NA FUTURE YAKO! Uchumi wa China umejengwa hivi, ukianzisha biashara ikifa au ikifeli UNAJIUA MWENYEWE PASIPO KUSIMAMIWA! Failure haikuwa tolerated na mambo yalisonga. Inatakiwa ifikie mahala uki graduate unaweka malengo makubwa, makali, kuwa ifikapo mwaka flani kama hujawa mtu mwenye nyadhfa flani unarudi kijijini kulima na kulewa pombe baaas! Manake umejifelishaaaa! Hutofanya uzembe.

I aint sayin itakuwa rahisi, utafanikisha mara moja, it will be harder than your worst imigination but have to stay focused! Kadri unavopiga hatua mikwazo mikubwa mikubwa itaibuka but remember STAY FOCUSED! Hadaa pia zitatokea kukutaka ujirelax, urizike na huto tu hatua ulitopiga, STAY FOCUSED AND COMMITTED.

Kuna ile hulka ya kujiona mimi mtu mdogo sanaa, mtoto wa mkulima nitafanyaje wakati fate yangu ndo hivo tena ni Unkind! Nitawesa kweli au natafuta pressure tu na kisukari! Napenda kukumbusha UKIAMUA UNAWEZA! Mambo mengi makubwa duniani yamefanywa na watu wadogo mno mno! Hata mtu akikudharau huwezi kuachieve chochote kumbuka Mende kaangusha kabati mara nyingi mno kwenye historia za dunia. UKIAMUA, UKAJICOMMIT NA MAISHA YAKO, IKAWA EITHER UFANIKISHE HIKO AU NO WAY OUT UTAFANIKISHA! Wachache ni hawa ambao mimi wananipa nguvu mnoo at times.

Mheshimiwa Rashid Mfaume Kwawa Waziri Mkuu Mstaafu.
Alitokea Lindi, alikuja mjini na begi languo, hakusoma sanaa, alikuwa dreva tax posta. Huyu na madreva tax wenzie they saw a bigger picture ya INDEPENDENT TANGANYIKA! Imagine by 1950 wwbongo kibao walikuwa washoenda nje kwenye vita vya dunia, wengine kusoma ila walijibweteka tu. Hawa watu wadogo, wasio na elimu, wasio watoto wa machief, waganga njaa wa Posta ndo walio DARE TO DREAM AND SEE THE BIGGER PICTURE! Na walijicommit na maisha yao, kuanzisha harakati za kumshika Simba sharubu si kwa manufaa yao bali walistick their necks on the line kuwakomboa wotee na wale waliokuwa wanakula bata common wealth. Wengi waliuawa, ila waliobaki wakarudi on the line kuendeleza harakati ili waliokufa wapumzike kwa amani wasione wamekufa bure. Wakauwawa zaidi na zaidi na wakapambana zaidi na zaid. Like i said Late Kawaww was a man of BIGGER VISION, BIGGER PICTURE, akaona TIMES HAVE CHANGED, wao hawajasoma, wana will to fight ila hawana strategy, hawana exposure hawana ability ya kupambana level za juu. Ndo wakaanza kurecruit WASOMI kila Late. Mwalimu na wengi walikubali since waliahidiwa nafasi kwenye hio GREENER FUTURE! Commbination ya Wasomi na Wanamapinduzi was Epitome! In the end japo hakuwa msomi sanaa Late Rashid Kawawa had an happy ending, alishika nafasi kubwa kubwa nchini, alienda nchi mbali mbali, na liongoza wasomi wa common wealth. HE COULD HAVE DIED A POOR TAX DRIVER BUT HE DARED THE DEVIL, CHALLANGED HIS FATE AND MADE A LIFE FOR HIMSELF FROM NOTHING TANTALILA TU ALIZOKUWA ANAPIGA ZA UKOMBOZI. Je wewe kijana si Msomi kuliko Late Rashid alivokuwa umri wako, je huna hela nyingi bank kumzidi alivokuwa umri wako? Hauko exposed kumzidi wakati ule THEN WHAT ARE YOU WAITING FOR.? GOD TO COME DOWN AND RESCUE YOU? GET RICH OR DIE TRYING!

Naomba ugeuke lara 1 niku-hug! .....!
 
Communism at work! Hahahahaaaaaa! Ndo mawazo yetu fungu la kukosa siku zote! UMESAHAU POINT MUHIMU UKIFA UNAENDA NAVYO KWANI.? Hahahaaa!

they wont be anykind of freedom years to come,i can see you dont see whats inside the dark but you see the dark,afteral huo ujumbe wako wengi walengwa hawapo humu,pili not all can read between lines,all those are normal circumstances all over,my point is you will be in a goodlife position currently but what is coming Ni balaa therefore what you said is normal and somehow meaningless lara 1 .....
 
Last edited by a moderator:
new world order is now covering up the progress ,yote uliyosema ni sawa but mean nothing ,simple life ,heaven is home,we arent safe here trust me lara 1

Inakuja lini hii new world order? Vitabu vya dini vinasema Asiyefanya kazi na asile,sasa wewe unaongelea heaven ipi hiyo? Kuwa na dreams za kuwa tajiri sio dhambi mkuu otherwise mwisho wa siku utaishia kulaumu kuwa Mungu hayupo fair wakati ni wewe mwenyewe hukuwa ambitious.

Choma meli,hakuna kurudi nyuma.If your dreams don't frighten you at night then they are not big enough
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaa! Ndo tushajichokea mtu afanyaje sasa! Bila hata simu, saingine maisha yana boa mpaka basi, mnakiwa mnapeana mazoezi tu! Mmepewa bure mnagaiana bureee!
hahahahahaaaaa unamambo wewe.....loading error
 
Nimeipenda kwa kweli hasa hapo pa kuwa na plan na kustick to it.


Sisi wa siku hizi tunataka tulale maskini na kuamka tajiri. Tunasukumwa zaidi na petty issues kama magari na hata nguo wanazovaa wenye pesa hasa wale wanaojionyesha kwenye TVs na magazines. Lengo letu kubwa ni kutaka kuonekana kwamba na sisi tunavyo nothing else. Ndio maana biashara tunazoanzisha hazikui, hatufanyi savings tunataka tutumie tu ilihali tunataka tuendelee kuwepo juu.


Cha muhimu kabisa ni kutengeneza utajiri wa kudumu na unaojali mahitaji ya wengine. Leave a legacy when your day comes. Utajiri unaopatikana kwa good planning, hard work, perseverance na patience na sio utajiri wa wizi na drug dealing. Utajiri utakaokupa piece of mind na sio stress kuhofia wale uliowacross in shady dealings.
 
Inakuja lini hii new world order? Vitabu vya dini vinasema Asiyefanya kazi na asile,sasa wewe unaongelea heaven ipi hiyo? Kuwa na dreams za kuwa tajiri sio dhambi mkuu otherwise mwisho wa siku utaishia kulaumu kuwa Mungu hayupo fair wakati ni wewe mwenyewe hukuwa ambitious.

Choma meli,hakuna kurudi nyuma.If your dreams don't frighten you at night then they are not big enough

kula ni principle

heaven ni moja

tajiri na maskini i guarantee ni wa mawazo si wa mali

mwenye macho na aone
 
Inakuja lini hii new world order? Vitabu vya dini vinasema Asiyefanya kazi na asile,sasa wewe unaongelea heaven ipi hiyo? Kuwa na dreams za kuwa tajiri sio dhambi mkuu otherwise mwisho wa siku utaishia kulaumu kuwa Mungu hayupo fair wakati ni wewe mwenyewe hukuwa ambitious.

Choma meli,hakuna kurudi nyuma.If your dreams don't frighten you at night then they are not big enough

Naamini tajiri ana nafasi kubwa ya kumtukuza na kumjua Mungu kuliko maskini. Work hard, work clean na utukufu wa Mungu utauona.
 
Naamini tajiri ana nafasi kubwa ya kumtukuza na kumjua Mungu kuliko maskini. Work hard, work clean na utukufu wa Mungu utauona.

Hahahahaaa tajiri hana sababu ya kuto kumuabudu Mungu,ana magari ya kumpeleka nyumba ya ibada,hana njaa and above all Mungu kamjalia amekuwa tajiri
 
Back
Top Bottom