Habari wanajf nawasalimu
Naomba aliyepitia hali ya kupata sukari kipindi cha ujauzito au yoyote aliyeona mtu mwenye hali hiyo tusaidiane kwa mawazo
Mimi ni mmoja wapo nna shida huu ni ujauzito wa pili na sukari imejirudia nipo wiki ya 28 kwa sasa natumia insulin.Tusaidiane maana naona nakuwa mtu wa mawazo haswa wanaponiambia hii Ni alert kuwa Sina miaka mingi nitapata ugonjwa wa kisukari.
Ahsanteni.
Naomba aliyepitia hali ya kupata sukari kipindi cha ujauzito au yoyote aliyeona mtu mwenye hali hiyo tusaidiane kwa mawazo
Mimi ni mmoja wapo nna shida huu ni ujauzito wa pili na sukari imejirudia nipo wiki ya 28 kwa sasa natumia insulin.Tusaidiane maana naona nakuwa mtu wa mawazo haswa wanaponiambia hii Ni alert kuwa Sina miaka mingi nitapata ugonjwa wa kisukari.
Ahsanteni.