Gerald Hando muombe msamaha Dr. Ulimboka



Kama wewe hukugoma wala kuandamana basi na MADR waige uzuzu wako ? Huwezi fikiri chanzo ni hayo mazingira magumu ya kazi ? wake up MTZ
 
Ukiendesha gari, kama kuna ajali inatokea ni bora umgonge mtu moja afe, wapone watu 30. Nashauri hao wapewe kipigo kingine ilikuokoa maisha ya Watanzania.Serikali kwa upande wake wajitahidi kuboresha mazingira ya kazi.
 
ktk excuse ambayo sipendi kuisikia ni hiyo.wakati fulani hata wakubwa hufanya makosa yenye madhara kwa umma kwa kisingizio hicho hicho.
 
ni kwa sababu ya uchochezi wako kwa kujipendekeza kwa ccm sasa tunatangaza vita rasmi na clouds fm hili lazima liwe fundisho kwa wote wasaliti wa watanzania watu wanazidi kuwa masikini nchi inaliwa kila kukicha wabunge wanajiongezea posho bila kazi yoyote ya msingi mawaziri wanaifilisi nchi na wewe unashabikia sasa (watch your shoulder boy)mmetutania sana sasa ni tit 4 tat adios
 

Unchosema ni Ukweli ila kumbuka Gerald anapokua redioni anatakiwa kuwa neutral na awakilishe mawazo ya pande zote na asifikie conclusion yoyote.
 
i katika kujipendekeza kwenu kwa ccm tunaomba mjichunge kila mtembeapo jihadharini na mabinti na mjichunge mnakula na kunywa wapi lazima tuondoke na mmoja wenu halafu mapata lessons maana watanzania wanteseka sababu ya serikali ya kufisadi na nyie mnashabikia hali hii especialy kitendo cha gerald hando lazima tujibu mapigo wenzenu watakuwa bungeni na sisi nanyie god bless you guys watch your backs:embarassed2:
 


Hata kama una mtazamo tofauti, kama kweli una roho ya kibinadamu hauwezi kushabikia au kufurahia unyama aliofanyiwa Dr. Uli. Na kwanini ukimbilie kuwalaumu madaktari wakati kuna anaye sababisha tufikie huko kwenye migomo ya mara kwa mara (Serikali)?
 
Hando hajakosea na aliyempa kichapo hando hakufanya makosa, unajuwa ni maelfu mangapi ya wagonjwa wanaoteseka kwa fitna zake. Akipona tumuone aendelee na ufataani wake.

Atapona tena vzr!mlidhani ni wa hivihivi,tu,kaaga kwao yule!...haya kifuatacho itv,ma dr mabingwa wote wameanza mgomo rasmi leo,na mass resignation ndo inakuja ndo mtajua maana ya ulimboka,mnavamivamia kila mtu,hamjui hata origin yake,ona ss mlivyoumbu!
 
Hando hajakosea na aliyempa kichapo hando hakufanya makosa, unajuwa ni maelfu mangapi ya wagonjwa wanaoteseka kwa fitna zake. Akipona tumuone aendelee na ufataani wake.
aiseeee zomba una miaka mingapi arifu??
 
Last edited by a moderator:
Ukiendesha gari, kama kuna ajali inatokea ni bora umgonge mtu moja afe, wapone watu 30. Nashauri hao wapewe kipigo kingine ilikuokoa maisha ya Watanzania.Serikali kwa upande wake wajitahidi kuboresha mazingira ya kazi.
Madereva watakupa shuhuda kwamba unaweza ukagonga mtu huyo gari ikaserereka ikawauwa waote kwenye gari na wale watambea kwa miguu kwa hiyo hiyo theory itaishuhudia punde na utajua manake nini
 
pumb...afuu kabisa...tena km mlidhani kila mtu wa kumtanguliza mbele ya haki km mlivyozoea mmechemka!ulimboka ameaga kwao!ss aibu yenu
 
Bado mnasikiliza hiyo radio?pole.wanawekaga issue binafusi hata akigombezwa huko mtaani inakuwa story akikamatwa na askali kwa makosa ya barabarani inakuwa kelele mpaka mpinga aje,wajinga sana,wamuombe kipanya arudi aokoe jahazi
 


Ahaaaaa walahi Gerald hando omba usiugue milele na kama utaumwa unatakiwa uende kutibiwa Apolo la sivyooooo ukiletwa Mhimbili au hospitali yoyote ya serikali ujue ndiyo mwisho wa maisha yakooooo take care
 
pumb...afuu kabisa...tena km mlidhani kila mtu wa kumtanguliza mbele ya haki km mlivyozoea mmechemka!ulimboka ameaga kwao!ss aibu yenu...na mass resignation inakuja
 
Dawa utazipata kwa kuuwa wagonjwa?

Mi napita hapa Kimya .....Leo sisemi....Nasubiri hapa Hospitali,Ninapougua bila Kupata the neccesary attention !!!!!!!!


Nitakapokuwa nimeshakufa,I will be back A hundred years latter to accuse you ...........Kwa kutonipa matibabu nilipokuwa ninaumwa,kwa Kukalia tu Politike...........Kazi hazifanyiki siku hizi........Kwa kuwa wabinafsi kupindukia....................Kweli Tanzania haitajengwa kwa bla bla pekee...................Hata sisi tulio huku vijijini mtukumbuke katika mahitaji yetu ya msingi ....................
 
Shetwani wewe!:sad:

Shetani ni yule anaye furahi kuwaona watanzania masikini wanakufa hospitali. Hatupendi kilichomtokea huyu Ulimboka (sina hakika kama ni qualified Doctor) bali yeye ni mmoja wa hao wanao watesa masikini kwa kukosa matibabu. Yeye kapata kipigo lakini anasababisha vifo vingi katika hospitali.
 
kama kuna mtu ambaye ana ndugu yake alikufa sababu ya mgomo wa madaktari asingetia neno hapa, watu wanakufa na kuteseka sababu ya madaktar wachache tu, fikiria angekuwa ni baba yako anakufia mkononi kisa tu madaktari wamegoma ungefanya nini? Msiwe na mawazo mgando, watu wanateseka kwa sababu yao madaktari
 
Hata kama una mtazamo tofauti, kama kweli una roho ya kibinadamu hauwezi kushabikia au kufurahia unyama aliofanyiwa Dr. Uli. Na kwanini ukimbilie kuwalaumu madaktari wakati kuna anaye sababisha tufikie huko kwenye migomo ya mara kwa mara (Serikali)?

Haya ni mawazo ya "ki'layman" hiki ni kielezo cha jinsi Taifa la Tanzania lilivyosheheni Ma'mbumbu,na ndo maana wakenya na waganda wanazidi kutupiga gap...nitakusaidia kidogo,kama umekuwa ni mfatiliaji mzuri wa madai ya Wataalamu hawa kwa serikali utakubaliana nami kuwa siyo kila walichokuwa wanadai kimepuuzwa au kimetupiwa kapuni,serikali ilijitahidi sana kwakweli kufanyia kazi yale waliyokuwa wanayadai na ndo maana wakarudi kazini kipindi kile,yale yaliyoshindikana walielezwa kuwa yatafanyiwa kazi taratibu kwasababu kwa jinsi uchumi wa nchi hizi zinazoendelea (Developing Countries) kama Tanzania ulivyo ilikuwa si rahisi kutekeleza madai yote yale kwa mara moja bila kuathiri pato la Taifa,na pato la Taifa(GNP) lingeathirika sisi sote tungekuwa na hali ngumu square ukilinganisha na huu msoto tulio nao sasa hivi,sina uhakika na utambuzi wako lkn Madaktari ni wasomi haya yote wanayatambua lkn still bado wakayaona hayana umuhimu,muhimu ni maslahi yao binafsi bila kujali maslahi ya watu wengine wowote wale.
Isitoshe Taifa limekuwa likiingia gharama sana kuwapika wataalamu wale,degree 1 ya udaktari ni miaka mitano,asilimia kubwa ya madaktari wamesoma kwa kodi za haohao wanaowagomea kuwatibia,hawataki kuliangalia hilo,madaktari wote wanakulaga kiapo cha kuwatumikia wananchi katika hali yeyote ile lkn kila wakati wanakiuka hicho kiapo chao kwasababu ya maslahi binafsi,is this fair kweli?...na kinachoniuma mimi ni kuona Jamaa wanachukulia umuhimu wao kuwa ndo mtaji,wanataka hiki,wanataka kile, serikali ikisuasua tu kuwatekelezea madai yao wanagoma,si wanajua wakigoma watu watakufa...huu ndo us***e,maisha ya binadamu si ya kuyaweka rehani kwasababu ya Millioni 3 sijui 3.5,wee unafikiri maisha haya ya Dunia ya 3 yanafurahisha? sector zote mishahara haitoshi(ukiacha mafisadi),sasa kila anayeona mshahara hautoshi agome tutafika kweli.
Tuwe tunafikiria mara 2,2 siyo tunakalia kuingiza siasa kwenye issue ambazo si za kisiasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…