Link iko online mbona...kuna mtu ameeleza misheni nzima...nani na nani walisafiri kwenda South siku ya Chrismas nakuacha kula sikuu nyeti na famila zao...
Na kibaya zaidi waliaga wanaenda Uganda lakini wakaonekana South walitumia ndege za kuunga unga na mwisho wakaingia South kwa magari kupitia boda...watu wana data na inteligensia zao...Na hili linaonesha kuwa PK pia hayuko salama maana hawa 'wapinzani' wake wana intelijensia ya hali ya juu pia...
Iko online hiyo taharifa...na majina kamili
Tuwekee link Mkuu