JONAS,MARIRE,CHASE,BASHADA NAMSOLOPAGAZI.
mmeona jinsi serikali yetu ilivyo na matatizo,watu wakilalamika wanasema kuna wachochezi.
vitabu vitakatifu vinasema rushwa inapofusha macho,hawa ccm hawaoni tena hata kunusa pua imeshakufa ganzi.
hawawezi kuona hata kama zoezi ni halali kufadhiliwa na ggm ambayo ina migogoro kibao na wananchi hawataeleweka.