Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,881
- 1,124
mimi nachanganyikiwa kidogo naombeni msaada,sikubaliani na wananchi kuvamia eneo la misitu lakini kwa kuwa hiyo ni kazi ya serikali.
ggm inadaiwa na wananchi fidia haijalipa na imechakachua makadirio,sasa kwa serikali kuchukua hela za ggm na kuzitumia kulipia polisi na kununulia viberiti kuchomea wananci nyumba zao walizojenga zaidi ya miaka 20 si sawa.
chadema wakipeleka m4c huko mtadai wachochezi?
naombeni kina ritz,rejao na wengine wa ccm mtuambie hiyo ni sawa?
ggm inadaiwa na wananchi fidia haijalipa na imechakachua makadirio,sasa kwa serikali kuchukua hela za ggm na kuzitumia kulipia polisi na kununulia viberiti kuchomea wananci nyumba zao walizojenga zaidi ya miaka 20 si sawa.
chadema wakipeleka m4c huko mtadai wachochezi?
naombeni kina ritz,rejao na wengine wa ccm mtuambie hiyo ni sawa?