Nani kasema youtube video hazina Quality! Tumia "Snap tube" hiyo inakupa option ya kichagua quality gani unataka.Usichukue videos za YouTube, Hazina Quality, Tumia Torrents kuchukua movies za high qualities.
Voda kuna Internet bila kikomo shilingi elf 1 kwa Massa 24.
Usichukue videos za YouTube, Hazina Quality, Tumia Torrents kuchukua movies za high qualities.
Vodacom Nikiwa Maeneo Fulani ndo huwa natumia Hii.. Huwa Nashusha Hata Series 2 na Documentary za kutosha... Na Zote zina GB hata 8..
Na Speed Yake Ni mpka 700Kb/s mpk 900kb/s hapo Speed ile ya Mwanzo imepungua wanayokupa na 700MB zao
Hivi ilivid inastahimili kupakua movie kwa kifurushi cha 1000 voda ..??
Maana ndo nnayotumia ..
Tigo kuna mambo wananikera lakini kwa hili tangu nilijue wamenikuna kwa kweli ngoja niwapeni
Mimi nimeweka sh.1000/= na nikajiunga kile kifurushi cha GB 30 naanza kuzitumia sa tano usiku hadi sa kumi ba moja asubuhi aisee na nimefundishwa kutumia utorrent na mmoja ya mdau humu anaitwa kcamp basi nina enjoy sana nina pakua movie zisizo na idadi na internet ipo speed hatari
Nachokifanya na connect simu angu kwenye PC through USB tethering den sa tano hio nakuwa na movie zangu kama ni 20 naacha zinapakuliwa nikiamka sa kumi na moja nakuta ni complete na streem nafanya mambo mengi kiukweli huwa sizi malizi lakini nacho fanya kabla ya mda wa kifurushi kuisha naunga tena bas hata zile zingne zinaendelea
Nimekuja kushare na nyie hapa wale wazee wa internet hii kitu iko poa
MKUU NAOMBA UNiELEKEZE NAMNA YA KU DOWNLOAD MOVIE HASA ZA YOUTUBE,, ZIKABAKI KWENYE MEMORY CARD, KWA HIZI SMARTPHONE!
Mkuu nipe code za hii service niyafurahie maisha..Voda kuna Internet bila kikomo shilingi elf 1 kwa Massa 24.
Mkuu nipe code za hii service niyafurahie maisha..
Mimi kwa kutumia bundle la bila kikomo kwa buku kwenye voda yangu napakua muvi hata zaidi ya kumi kwenye Simu then nahamishia kwenye pic..natumia kickass torrents software.Ipo poa na muvi zipo faster
Mimi kwa kutumia bundle la bila kikomo kwa buku kwenye voda yangu napakua muvi hata zaidi ya kumi kwenye Simu then nahamishia kwenye pic..natumia kickass torrents software.Ipo poa na muvi zipo faster
Njia nilio kuwa naifaham mm ni unasearch video youtube halafu ikisha kuja kule juu utaona link ya hio video imeanza na http/www.youtube inaendelea sasa una edit inakuwa ssyoutube baladala ya http/www then una enter itakuja udownloa
Njia nyingne install tubemate
Vodacom Nikiwa Maeneo Fulani ndo huwa natumia Hii.. Huwa Nashusha Hata Series 2 na Documentary za kutosha... Na Zote zina GB hata 8..
Na Speed Yake Ni mpka 700Kb/s mpk 900kb/s hapo Speed ile ya Mwanzo imepungua wanayokupa na 700MB zao
MKUU NAOMBA UNiELEKEZE NAMNA YA KU DOWNLOAD MOVIE HASA ZA YOUTUBE,, ZIKABAKI KWENYE MEMORY CARD, KWA HIZI SMARTPHONE!
kifurushi gan hicho? mi cha voda nnachokijua wanachoita unlimited ni GB 1