Labda huyumwanajamii anashangaa kuona Gazeti la uhuru limekuwa wazi hawamu hii kuliko siku zote kwani siku zingine ilikuwa haionyeshi matukio makubwa ,hasa ajali iliyotokana na uzembe wa serikali.Mimi nimemuelewa kwamba kwa kawaida hao jamaa hawapendi kuripoti ukweli wa mambo badala ya wanafichaficha.