COARTEM JF-Expert Member Joined Nov 26, 2013 Posts 3,617 Reaction score 3,681 Dec 19, 2013 #1 Gazeti hili linamaanisha nini? Viongozi wa Chadema mko wapi kutolea ufafanuzi wa kashfa nzito kama hii.? MAGAZETI YA LEO JUMATANO TAR 18.12.2013 VICHWA VIKUBWA CHADEMA CHADEMA YANUKA DAMU,MAWAZIRI MATUMBO JOTO NA SLAA:JK DHAIFU. ~ dj sek
Gazeti hili linamaanisha nini? Viongozi wa Chadema mko wapi kutolea ufafanuzi wa kashfa nzito kama hii.? MAGAZETI YA LEO JUMATANO TAR 18.12.2013 VICHWA VIKUBWA CHADEMA CHADEMA YANUKA DAMU,MAWAZIRI MATUMBO JOTO NA SLAA:JK DHAIFU. ~ dj sek
promiseme JF-Expert Member Joined Mar 15, 2010 Posts 2,706 Reaction score 934 Dec 19, 2013 #2 Wamelikoroga CDM wanalinywa japo kimnya kinmya............
Communist JF-Expert Member Joined Jun 1, 2012 Posts 5,400 Reaction score 1,186 Dec 19, 2013 #3 Takataka, hamna kitu kama hicho. Labda CCM.
strong ruler JF-Expert Member Joined Nov 2, 2013 Posts 4,919 Reaction score 3,312 Dec 19, 2013 #4 Hali tete
Tony Gwanco JF-Expert Member Joined Jan 22, 2013 Posts 5,913 Reaction score 1,217 Dec 19, 2013 #5 labda sakata la the late zakayo
Yericko Nyerere JF-Expert Member Joined Dec 22, 2010 Posts 17,018 Reaction score 20,489 Dec 19, 2013 #6 Nguvu kubwa wanayotumia ccm kuivuruga chadema ingetumika kuwapa maendeleo watanzania ccm ingeishi kwa raha sana,
Nguvu kubwa wanayotumia ccm kuivuruga chadema ingetumika kuwapa maendeleo watanzania ccm ingeishi kwa raha sana,
Ikwanja JF-Expert Member Joined Jul 12, 2011 Posts 2,082 Reaction score 583 Dec 19, 2013 #7 mizigo wanaanzisha magazeto ya kuwasaidia kuwalinada
O Otorong'ong'o JF-Expert Member Joined Aug 17, 2011 Posts 38,907 Reaction score 28,075 Dec 19, 2013 #8 Hilo nalo ni gazeti...???
sixgates JF-Expert Member Joined Mar 19, 2011 Posts 3,979 Reaction score 1,667 Dec 19, 2013 #9 Hahahahaa waandishi wasahaulifu, si mtanzania ilifungiwa kwa kuandika "serikali yanuka damu"
Gefu JF-Expert Member Joined Nov 30, 2010 Posts 6,929 Reaction score 2,567 Dec 19, 2013 #10 ...sijawahi kununua hii takataka,na wanaonunua ninamashaka na uelewa wao wa kiakili....
Communist JF-Expert Member Joined Jun 1, 2012 Posts 5,400 Reaction score 1,186 Dec 19, 2013 #11 strong ruler said: Hali tete Click to expand... Hali tete kwa lioelemewa na mizigo. CCM na Mizigo ya Mawaziri.
strong ruler said: Hali tete Click to expand... Hali tete kwa lioelemewa na mizigo. CCM na Mizigo ya Mawaziri.
Tony Gwanco JF-Expert Member Joined Jan 22, 2013 Posts 5,913 Reaction score 1,217 Dec 19, 2013 #12 Yericko Nyerere said: Nguvu kubwa wanayotumia ccm kuivuruga chadema ingetumika kuwapa maendeleo watanzania ccm ingeishi kwa raha sana, Click to expand... nguvu unayotumia humu jf ungeipeleka kwa familia yako ungekuwa mbali dogo.
Yericko Nyerere said: Nguvu kubwa wanayotumia ccm kuivuruga chadema ingetumika kuwapa maendeleo watanzania ccm ingeishi kwa raha sana, Click to expand... nguvu unayotumia humu jf ungeipeleka kwa familia yako ungekuwa mbali dogo.
Lupweko JF-Expert Member Joined Mar 26, 2009 Posts 24,940 Reaction score 26,796 Dec 19, 2013 #13 sixgates said: Hahahahaa waandishi wasahaulifu, si mtanzania ilifungiwa kwa kuandika "serikali yanuka damu" Click to expand... Kwa hiyo una maana na hili nalo lifungiwe?
sixgates said: Hahahahaa waandishi wasahaulifu, si mtanzania ilifungiwa kwa kuandika "serikali yanuka damu" Click to expand... Kwa hiyo una maana na hili nalo lifungiwe?
Q Quinine JF-Expert Member Joined Jul 26, 2010 Posts 24,150 Reaction score 56,463 Dec 19, 2013 #14 "Serikali yanuka damu" Mtanzania likafungiwa kwa uchochezi, "Chadema yanuka damu" Serikali inachekelea uchochezi. Ila tutafika tu destination zero.
"Serikali yanuka damu" Mtanzania likafungiwa kwa uchochezi, "Chadema yanuka damu" Serikali inachekelea uchochezi. Ila tutafika tu destination zero.
Kigogo JF-Expert Member Joined Dec 14, 2007 Posts 20,508 Reaction score 6,199 Dec 19, 2013 #15 Bila kuandika chadema hawauzi gazeti
N ndomyana JF-Expert Member Joined Jan 24, 2012 Posts 5,724 Reaction score 2,262 Dec 19, 2013 #16 Pole sana ccm kwa kuelemewa na mizigo2015 tutawapumzisha
Mkuu rombo JF-Expert Member Joined Oct 18, 2012 Posts 1,556 Reaction score 422 Dec 19, 2013 #17 aiseeeee babayangu magamba kazi mnayo kutushusha cdm kazi ipo
only83 JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 5,342 Reaction score 2,528 Dec 19, 2013 #18 Si kila jambo ni la kujibu. Maana wakati mwingine kukaa kimya ni bora kuliko kufungua kinywa kwa mambo yasiyo na msingi.
Si kila jambo ni la kujibu. Maana wakati mwingine kukaa kimya ni bora kuliko kufungua kinywa kwa mambo yasiyo na msingi.
Ritz JF-Expert Member Joined Jan 1, 2011 Posts 54,530 Reaction score 43,913 Dec 19, 2013 #19 Yericko Nyerere said: Nguvu kubwa wanayotumia ccm kuivuruga chadema ingetumika kuwapa maendeleo watanzania ccm ingeishi kwa raha sana, Click to expand... Wewe nguvu na muda ambao unapoteza humu JF kuitukana CCM na kudanganya watu ungeitumia kutafuta pesa ungekuwa mbali sana.
Yericko Nyerere said: Nguvu kubwa wanayotumia ccm kuivuruga chadema ingetumika kuwapa maendeleo watanzania ccm ingeishi kwa raha sana, Click to expand... Wewe nguvu na muda ambao unapoteza humu JF kuitukana CCM na kudanganya watu ungeitumia kutafuta pesa ungekuwa mbali sana.
Nduka JF-Expert Member Joined Dec 3, 2008 Posts 8,552 Reaction score 2,385 Dec 19, 2013 #20 Ritz said: Wewe nguvu na muda ambao unapoteza humu JF kuitukana CCM na kudanganya watu ungeitumia kutafuta pesa ungekuwa mbali sana. Click to expand... Au angetumia muda huo kumtafuta baba yake mzazi, at least angekuwa na ubin wenye nasaba naye.
Ritz said: Wewe nguvu na muda ambao unapoteza humu JF kuitukana CCM na kudanganya watu ungeitumia kutafuta pesa ungekuwa mbali sana. Click to expand... Au angetumia muda huo kumtafuta baba yake mzazi, at least angekuwa na ubin wenye nasaba naye.