Gazeti: 'CHADEMA yanuka damu'

Wamelikoroga CDM wanalinywa japo kimnya kinmya............
 
mizigo wanaanzisha magazeto ya kuwasaidia kuwalinada
 
Hahahahaa waandishi wasahaulifu, si mtanzania ilifungiwa kwa kuandika "serikali yanuka damu"
 
...sijawahi kununua hii takataka,na wanaonunua ninamashaka na uelewa wao wa kiakili....
 
"Serikali yanuka damu" Mtanzania likafungiwa kwa uchochezi,

"Chadema yanuka damu" Serikali inachekelea uchochezi.

Ila tutafika tu destination zero.
 
Bila kuandika chadema hawauzi gazeti
 
Pole sana ccm kwa kuelemewa na mizigo2015 tutawapumzisha
 
aiseeeee babayangu magamba kazi mnayo kutushusha cdm kazi ipo
 
Si kila jambo ni la kujibu. Maana wakati mwingine kukaa kimya ni bora kuliko kufungua kinywa kwa mambo yasiyo na msingi.
 
Nguvu kubwa wanayotumia ccm kuivuruga chadema ingetumika kuwapa maendeleo watanzania ccm ingeishi kwa raha sana,
Wewe nguvu na muda ambao unapoteza humu JF kuitukana CCM na kudanganya watu ungeitumia kutafuta pesa ungekuwa mbali sana.
 
Wewe nguvu na muda ambao unapoteza humu JF kuitukana CCM na kudanganya watu ungeitumia kutafuta pesa ungekuwa mbali sana.

Au angetumia muda huo kumtafuta baba yake mzazi, at least angekuwa na ubin wenye nasaba naye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…