Nimesoma kupitia vyombo vya habari kuwa gawio kwa hisa moja ya CRDB ni Tshs.8.00 na gawio la NMB ni Tshs.66.00 mwaka huu. Hivi Benki kubwa kama CRDB inatoa Tshs.8.00 wakati Benki shindani inatoa Tshs.66.00. Hili ni jambo lisiloweza kuvumiliwa kwa Benki ya CRDB na inabidi Benki hii ijitafakari sana.