Gavana wa Benki Kuu kukimbia maswali ya waandishi kunatoa tafsiri gani?

MWITONGO MAARIFA

JF-Expert Member
Aug 11, 2018
276
1,428
Ipo clip inasambaa ikionyesha Gavana wa BOT akiondoka mbele ya waandishi wa habari kabla ajaulizwa maswali, lakini pia waandishi wanasikika wakimwomba asubiri maswali anaendelea kuondoka huku wasaidizi wake au watu alioambatana nao wakicheka.

Ikumbukwe pia kuwa huyu ni kiongozi mkubwa nchini na analipwa fedha nyingi na walipakodi hivyo anatakiwa kutoa ufafanuzi kutibu majeraha ya kibiashara na kiuchumi yaliletekezwa na operesheni iliyofanywa na ofisi yake.

Huyu pia Ni msomi na mwalimu mwenye watu wengi nyuma yake ambao aliwajenga kuheshimu na kujijengea mazingira yakujibu hoja, alikuwa anatunga mitihani watu wanajibu, alikuwa anaendesha na kusimamia malumbano ya kitaaluma chuoni yote haya akiyafanya kwa kuzingatia misingi ya taaluma.

Leo yeye anaondoka mbele ya vyombo vya habari ambavyo ameviita yeye tena bila hata kuaga, anatoa tafsiri gani kwa viongoz wengine?Wengi wa waandishi wa habari ni sawa na watoto wake, je yeye angewaita wakaanza kuondoka kabla hajamaliza na bila kumsikiliza angejisikiaje?

Nadhani tunapaswa kuheshimu taaluma za watu lakini pia ukiwa kiongoz simama kama dira kwa wengine.Kesho usishangae akaibuka mtu akafanya Kama gavana na akihojiwa Sana akajitetea mbona Gavana alifanya hamkupiga kelele?
 
Ipo clip inasambaa ikionyesha Gavana wa BOT akiondoka mbele ya waandishi wa habari kabla ajaulizwa maswali, lakini pia waandishi wanasikika wakimwomba asubiri maswali anaendelea kuondoka huku wasaidizi wake au watu alioambatana nao wakicheka.

Ikumbukwe pia kuwa huyu ni kiongozi mkubwa nchini na analipwa fedha nyingi na walipakodi hivyo anatakiwa kutoa ufafanuzi kutibu majeraha ya kibiashara na kiuchumi yaliletekezwa na operesheni iliyofanywa na ofisi yake.

Huyu pia Ni msomi na mwalimu mwenye watu wengi nyuma yake ambao aliwajenga kuheshimu na kujijengea mazingira yakujibu hoja, alikuwa anatunga mitihani watu wanajibu, alikuwa anaendesha na kusimamia malumbano ya kitaaluma chuoni yote haya akiyafanya kwa kuzingatia misingi ya taaluma.

Leo yeye anaondoka mbele ya vyombo vya habari ambavyo ameviita yeye tena bila hata kuaga, anatoa tafsiri gani kwa viongoz wengine?Wengi wa waandishi wa habari ni sawa na watoto wake, je yeye angewaita wakaanza kuondoka kabla hajamaliza na bila kumsikiliza angejisikiaje?

Nadhani tunapaswa kuheshimu taaluma za watu lakini pia ukiwa kiongoz simama kama dira kwa wengine.Kesho usishangae akaibuka mtu akafanya Kama gavana na akihojiwa Sana akajitetea mbona Gavana alifanya hamkupiga kelele?
Kama kafanya hivyo kafanya kosa kubwa sana.
Kwa hadhi yake hatakiwi kukimbia media sasa anataka wandishi wakmuulize nani ??
 
Ipo clip inasambaa ikionyesha Gavana wa BOT akiondoka mbele ya waandishi wa habari kabla ajaulizwa maswali, lakini pia waandishi wanasikika wakimwomba asubiri maswali anaendelea kuondoka huku wasaidizi wake au watu alioambatana nao wakicheka.

Ikumbukwe pia kuwa huyu ni kiongozi mkubwa nchini na analipwa fedha nyingi na walipakodi hivyo anatakiwa kutoa ufafanuzi kutibu majeraha ya kibiashara na kiuchumi yaliletekezwa na operesheni iliyofanywa na ofisi yake.

Huyu pia Ni msomi na mwalimu mwenye watu wengi nyuma yake ambao aliwajenga kuheshimu na kujijengea mazingira yakujibu hoja, alikuwa anatunga mitihani watu wanajibu, alikuwa anaendesha na kusimamia malumbano ya kitaaluma chuoni yote haya akiyafanya kwa kuzingatia misingi ya taaluma.

Leo yeye anaondoka mbele ya vyombo vya habari ambavyo ameviita yeye tena bila hata kuaga, anatoa tafsiri gani kwa viongoz wengine?Wengi wa waandishi wa habari ni sawa na watoto wake, je yeye angewaita wakaanza kuondoka kabla hajamaliza na bila kumsikiliza angejisikiaje?

Nadhani tunapaswa kuheshimu taaluma za watu lakini pia ukiwa kiongoz simama kama dira kwa wengine.Kesho usishangae akaibuka mtu akafanya Kama gavana na akihojiwa Sana akajitetea mbona Gavana alifanya hamkupiga kelele?
Hahahaha! gavana karara mbere, waandishi nao walikuja na majibu yao mfukoni gavana ni msomi kawasoma akaona isiwe tabu. au alijisahau akajua yeye ni Gavana wa County maswli ya fweza yatamzingua akala kona ile anafika oficn anajikuta ye ndo gavana wa hela.
 
Ipo clip inasambaa ikionyesha Gavana wa BOT akiondoka mbele ya waandishi wa habari kabla ajaulizwa maswali, lakini pia waandishi wanasikika wakimwomba asubiri maswali anaendelea kuondoka huku wasaidizi wake au watu alioambatana nao wakicheka.

Ikumbukwe pia kuwa huyu ni kiongozi mkubwa nchini na analipwa fedha nyingi na walipakodi hivyo anatakiwa kutoa ufafanuzi kutibu majeraha ya kibiashara na kiuchumi yaliletekezwa na operesheni iliyofanywa na ofisi yake.

Huyu pia Ni msomi na mwalimu mwenye watu wengi nyuma yake ambao aliwajenga kuheshimu na kujijengea mazingira yakujibu hoja, alikuwa anatunga mitihani watu wanajibu, alikuwa anaendesha na kusimamia malumbano ya kitaaluma chuoni yote haya akiyafanya kwa kuzingatia misingi ya taaluma.

Leo yeye anaondoka mbele ya vyombo vya habari ambavyo ameviita yeye tena bila hata kuaga, anatoa tafsiri gani kwa viongoz wengine?Wengi wa waandishi wa habari ni sawa na watoto wake, je yeye angewaita wakaanza kuondoka kabla hajamaliza na bila kumsikiliza angejisikiaje?

Nadhani tunapaswa kuheshimu taaluma za watu lakini pia ukiwa kiongoz simama kama dira kwa wengine.Kesho usishangae akaibuka mtu akafanya Kama gavana na akihojiwa Sana akajitetea mbona Gavana alifanya hamkupiga kelele?

Kuna msemo maarufu wa kilatini unasema “horror vacui”. Aristotle ndiye anayetajwa kuusema awali.

Kiingereza wanasema "nature abhors a vacuum". Asili haipendi ombwe.

Yani ukiondoa hewa kwenye chombo, ubaki na ombwe,ukiachia hicho chombo wazi kitajaa kitu tu, kama si hewa basi maji, chochote kilicho karibu kitachukua nafasi ya ombwe.

Katika "Information Theory" napo kuna kitu kama hicho. Habari ya kweli isipotolewa, kukawa kuna ombwe la habari, kila mwenye kuweza kujitungia habari yake, atajitungia na kuisambaza.

Ndiyo maana wenzetu walioendelea katika mambo ya habari, wanafanya press conferences zinajibu maswali kirefu.

Wanatoa version yao ya habari, iwe ya uongo au ukweli hilo ni jambo lingine.

Ukikataa kujibu maswali ya waandishi na wananchi, maana yake umekataa kuelezea version yako ya mambo, ukikataa kuelezea version yako ya mambo, umekubali version yoyote nyingine isambae.

Gavana, kwa kukataa kujibu maswali, ameacha maswali yale yaendelee kuwepo na kujibiwa kwa speculations zozote zitakazoendelea kuwepo.
 
Mkuu kwani wewe ukienda sehemu ukawa unaongea uongo na unajua kabisa unaongea uongo utakubali uulizwe maswali???ukiondoa vibaraka wachache wa jiwe wakina bashite na kundi lake utawala huu sio kwamba watu na viongozi wakubwa hawajui na hawaoni kinachoendelea na hali halisi ya maisha mtaani wanajua sana sema sasa inabidi mtu ujitoe akili kulinda tumbo
 
Kuna msemo maarufu wa kilatini unasema “horror vacui”. Aristotle ndiye anayetajwa kuusema awali.

Kiingereza wanasema "nature abhors a vacuum". Asili haipendi ombwe.

Yani ukiondoa hewa kwenye chombo, ubaki na ombwe,ukiachia hicho chombo wazi kitajaa kitu tu, kama si hewa basi maji, chochote kilicho karibu kitachukua nafasi ya ombwe.

Katika "Information Theory" napo kuna kitu kama hicho. Habari ya kweli isipotolewa, kukawa kuna ombwe la habari, kila mwenye kuweza kujitungia habari yake, atajitungia na kuisambaza.

Ndiyo maana wenzetu walioendelea katika mambo ya habari, wanafanya press conferences zinajibu maswali kirefu.

Wanatoa version yao ya habari, iwe ya uongo au ukweli hilo ni jambo lingine.

Ukikataa kujibu maswali ya waandishi na wananchi, maana yake umekataa kuelezea version yako ya mambo, ukikataa kuelezea version yako ya mambo, umekubali version yoyote nyingine isambae.

Gavana, kwa kukataa kujibu maswali, ameacha maswali yale yaendelee kuwepo na kujibiwa kwa speculations zozote zoitakazoendelea kuwepo.

Hii ni kwa wenzetu ambao ni wasikivu,kwa bongo hata angesema ametumwa afanye hivyo bado kuna watu wangesema kwanini atumwe na asiongee yake binafsi kitaalamu!!!!??.

Kifupi mtz ni vizuri zaidi ukamuacha njia panda akome na umbea,wapo waliosema hiki kichwa kilikabidhiwa na mkapa kule kamati kuu dodoma,leo hii wote kwa pamoja wanamlaani kikwete kwanini aliwaachia huyu mtu,hii ni bongo pekee mkuu.
 
Kuna msemo maarufu wa kilatini unasema “horror vacui”. Aristotle ndiye anayetajwa kuusema awali.

Kiingereza wanasema "nature abhors a vacuum". Asili haipendi ombwe.

Yani ukiondoa hewa kwenye chombo, ubaki na ombwe,ukiachia hicho chombo wazi kitajaa kitu tu, kama si hewa basi maji, chochote kilicho karibu kitachukua nafasi ya ombwe.

Katika "Information Theory" napo kuna kitu kama hicho. Habari ya kweli isipotolewa, kukawa kuna ombwe la habari, kila mwenye kuweza kujitungia habari yake, atajitungia na kuisambaza.

Ndiyo maana wenzetu walioendelea katika mambo ya habari, wanafanya press conferences zinajibu maswali kirefu.

Wanatoa version yao ya habari, iwe ya uongo au ukweli hilo ni jambo lingine.

Ukikataa kujibu maswali ya waandishi na wananchi, maana yake umekataa kuelezea version yako ya mambo, ukikataa kuelezea version yako ya mambo, umekubali version yoyote nyingine isambae.

Gavana, kwa kukataa kujibu maswali, ameacha maswali yale yaendelee kuwepo na kujibiwa kwa speculations zozote zoitakazoendelea kuwepo.
GREAT INFO MKUU HONGERA SANA
 
Mkuu kwani wewe ukienda sehemu ukawa unaongea uongo na unajua kabisa unaongea uongo utakubali uulizwe maswali???ukiondoa vibaraka wachache wa jiwe wakina bashite na kundi lake utawala huu sio kwamba watu na viongozi wakubwa hawajui na hawaoni kinachoendelea na hali halisi ya maisha mtaani wanajua sana sema sasa inabidi mtu ujitoe akili kulinda tumbo
Kweli kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom