Gari ya serikali kuwekwa tinted, hii imekaaje

Gari ya serikali kuwekwa tinted, hii imekaaje

pisces

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2010
Posts
240
Reaction score
61
Muda si mrefu hapa Mtwara nimepishana na Landcruiser v8 ya polisi, imepigwa tinted.
hii ni sawa kweli?
Labda wadau mnipe maoni tofauti.
 
muda si mrefu hapa mtwara nimepishana na landcruiser v8 ya polisi, imepigwa tinted.
hii ni sawa kweli?
labda wadau mnipe maoni tofauti.

Hujakutana na msafara wa rais ukaona ile mikilimo kwanza ilivyo? Yote ni full tinted!
 
Wanajificha , maana hamchelewi kuwa popoa mawe mkiwaona!
 
Isikutishe ndugu yangu.kawaida sana tena hasa hutegemea ni la idara gan.hata TRA,usalama nikawaida tu
 
hzo ndo hutumia kusafirisha meno ya tembo nahisi.au heroine.iweje gari ya serikali uipige tinted?mi sioni km ni sahihi.
 
ndugu zangu munataka nikiwa na pewa kitu kidogo kwa ajili ya kahawa umo ndani ya gari mnione acheni hizo bana
 
Ni kawaida tu jana nmekutana na msafara wa Mkuu wa kaya Mwenge yupo ndani ya black afu tinted kwa ivo wanageza hao
 
Muda si mrefu hapa Mtwara nimepishana na Landcruiser v8 ya polisi, imepigwa tinted.
hii ni sawa kweli?
Labda wadau mnipe maoni tofauti.

Mimi niliona Land cruiser nyeusi na tinted nyeusi hapo Dar, nikachoka kabisa!??????
Kwa Mtwara inawezekana Wamakonde noma, walikuwa wanachoma magari ya STK.
 
Mkuu wale wa maliasili pamoja na usalama wao, sitasahu siku nimewapeleka kuangalia magogo yaliyokatwa, ikagundulika mwenzao ndo mkataji, mihuri anagongea njiani wala sio porini kama utaratibu unavyotaka. NILICHOKAJE?
sahihi hata za maliasili huwa zinapigwa tinted kwa ajili ya usalama wa watumishi
 
Hii selikali haikuchaguliwa na wananch ilijichagua yenye kibabe sasa waonge na naniyao huko porini?tume ya uchaguzi wenyewe hawana matokeo ya njia iliyo waingiza hawa wahaini madarakani.msiogope kosa sikutenda kosa bali nikurudia tien akil hich kipande kifupi kilobakia na msimsahau muumba kumuomba amii
 
Mkuu wale wa maliasili pamoja na usalama wao, sitasahu siku nimewapeleka kuangalia magogo yaliyokatwa, ikagundulika mwenzao ndo mkataji, mihuri anagongea njiani wala sio porini kama utaratibu unavyotaka. NILICHOKAJE?
kuna msemo unasema "meno ya mbwa ayaumani"
 
Back
Top Bottom