next month katikati natarajia kuwa dar...naulizia wapi tapata usafiri wa kukodi but nijiendeshe mwenyewe...bei iwe kati ya 30 - 50...nawakilisha wakuu.
mie siishi huko bongo mkuu..hatuwezi fanya mambo kienyeji kaka...kila business lazima mbadilishane docs...ikibidi na mna sign contract pia...biashara za mali kauli zimepitwa na wakati....
mie siishi huko bongo mkuu..hatuwezi fanya mambo kienyeji kaka...kila business lazima mbadilishane docs...ikibidi na mna sign contract pia...biashara za mali kauli zimepitwa na wakati....