Gari linauzwa Mark ii

Gari linauzwa Mark ii

Mkuu kama uko tayari M moja nakupa uko Dar?
 
aliyeleta tangazo hili la kuuza gar naona kakimbia baada ya kutoa tangazo, ningeinunua lakn naona muuzaj hayupo sirias! kwaheri
 
Hahaha Frank mzee ulikuwa unaisalandia nini?
Jamaa kaona watu wameanza kuponda kasepa kwa presha
ni uoga wake tu, angewasiliana na mimi ningeinunua na kuibadilisha gear box na ningeiuza sa mtu mwenyewe kasepa dah! roho imeniuma! chonde chonde we unaeiuza hyo mark ii jitokeze bas tufanye biashara plz!
 
kaka zijasepa shughuli zilikuwa nyingi leo hata zikupata muda nime ku pm simu yangu ila bei yako kama ni moja ni heri nitoe sadaka nitabarikiwa. Kitu kinatekenya vyema namna hii ikiwa ishue natupia injini kwenye GX 100 au bodi ingine kali nakomba kitu cha uhakika
 
Kula milioni 1, ukikubali nakupigia kwa kufundishia driving course
 
Mwenye kupenda madude kama kama haya mimi nina V.Golf nikipata M2 poa
 
Mara ukijitok,eza wale waliokuwa na nia wanakuwa hawaonekani na inabidi na wale wasiokuwa na nia wanakimbia
 
Kaka nipo tutafutane basi tufanye hiyo biashara naona hiyakuuma bado ipo tumalize biashara tufanye mengine

ni uoga wake tu, angewasiliana na mimi ningeinunua na kuibadilisha gear box na ningeiuza sa mtu mwenyewe kasepa dah! roho imeniuma! chonde chonde we unaeiuza hyo mark ii jitokeze bas tufanye biashara plz!
 
Kuna maswali hapo juu hayajajibiwa..
Gari inadaiwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom