Gari mark II manual, cylinder sita, liko katika hali nzuri unawasha na kutembea injini iko vizuri kupita maelezo linauzwa kwa Tshs 2.4 M
comment yako ina mchango gani katika biashara ya mwenzio?au ni lazima ucomment?nimeona katika matangazo mengi ya biashara humu katika hili jukwaa yanapokea comment za kumkatisha mtu tamaa kutoka kwa watu ambao hawapo interested hata na bidhaa yenyewe ukiachilia mbali uwezo wa kununua,au hii slogan "home of great thinkers"ndio kigezo cha kufikiria hata yasiyofikirika?tubadilike wabongo,online classified ndo inashika kasi sasa,hivyo tusipoweza kuendana na kasi hiyo tutabaki hapa hapa,mbona kwenye matangazo ya TV na redio mlikuwa hamcomment.tangazo lina response za aina tatu,positive response(hii ni ikiwa limefanikiwa kukutana na demands za muhitaji)neutral response(hapa ni ikiwa mtu kutokuwa na uhitaji wa bidhaa husika,aidha kwa kutoridhishwa na bei au ubora,hapa mtu unapita zako tu)negative response(hii haina tofauti kubwa na neutral,ila hapa unaweza kucomment ikiwa kinachotangazwa ni tofauti na muonekano wa bidhaa halisi,mfano mtangazaji kasema nauza gari mpya,automatic,rangi nyeusi metallic.ukiangalia picha unaona gari nyeupe halafu manual!)tuboreshe jukwaa letu kwa manufaa ya ukuaji wa uchumi wa ndani.moderators kwa mtazamo wangu kama mngeanzisha utaratibu wa kufilter baadhi ya comments zisizo na lazima,watu wangekuwa na mafanikio kwenye biashara zao.nawasilisha hojanimekuwa nafuatilia uchumi wa Brazil ambapo wanasema uko kwenye recession na moja ya kampuni zenye matatizo ni ile iliyopo Tanzania maeneo ya Mtwara ikitafuta gesi. Ndio nashtuka sasa kuwa hata hapa kwetu tuko hoi kiuchumi lakini hatusemi.
Yasingekuwa hayo wallah na mimi ningemiliki gari leo! Mbona hujatuwekea namba ya usajili lakini!?
Kiongozi iweke juu ya mawe ili watoto wako wajue kwamba ulishawahi kuwa na gari au ipeleke makumbusho ya taifa ili vizazi vijavyo vijue tanzania kushawahi kuwa na hii gari.
![]()
Mkuu hapo unataka kumiliki gari au kurithi matatizonimekuwa nafuatilia uchumi wa Brazil ambapo wanasema uko kwenye recession na moja ya kampuni zenye matatizo ni ile iliyopo Tanzania maeneo ya Mtwara ikitafuta gesi. Ndio nashtuka sasa kuwa hata hapa kwetu tuko hoi kiuchumi lakini hatusemi.
Yasingekuwa hayo wallah na mimi ningemiliki gari leo! Mbona hujatuwekea namba ya usajili lakini!?
Di Ty, una utani wewe! hiyo gar ingekuwa automatic ningefikiria kuichukua lakin manual na folen zetu hizi mpaka unafika nyumban mguu wa kushoto umechoka kwa kuikanyaga cluch!Frank Jb pitia huku..
Di Ty, una utani wewe! hiyo gar ingekuwa automatic ningefikiria kuichukua lakin manual na folen zetu hizi mpaka unafika nyumban mguu wa kushoto umechoka kwa kuikanyaga cluch!
naomba nikupe milion 1Gari mark II manual, cylinder sita, liko katika hali nzuri unawasha na kutembea injini iko vizuri kupita maelezo linauzwa kwa Tshs 2.8 M
Kiongozi iweke juu ya mawe ili watoto wako wajue kwamba ulishawahi kuwa na gari au ipeleke makumbusho ya taifa ili vizazi vijavyo vijue tanzania kushawahi kuwa na hii gari.
![]()