Gari la Chenge lagonga tena, LAUA!

 
Kama hilo suala halimuhusu mheshimiwa, hakuhitaji kujibu kwa hasira.
 
Huko Gambosh inadaiwa ni kijiji cha misukule, usishangae kusikia maiti imetoweka!
 
Huyu mzee mzimu wa mwalimu nyerere unamtafuna.mwishoe tutaskia kajinyonga.
 
Ndio matokeo ya kudharau watu kwa kutumia vijisenti!

Na ni wananchi haohao watampa kura tena, bila hukumu yoyote!
Umasikini huu unatusumbua.
 
mhh...Tanzania yangu!kweli inauma! mwisho wa chenge utakuwa mbaya sana. maiti yake itakuja kuliwa na mbwa live!
 
Mizumu ya wale wadada wawili alioua kisa anawafuatilia kwa mbali baada ya kushindwa kuelewana walipokuwa wanachapa maraha usiku wa manane haitamwachia. Halafu anakana na tena kukana kabisa kuwa hakuwa na uhusianao na mmoja wao. Kweli ukishakuwa marehemu huna thamani. Kweli na kilio cha roho kimsute huyo Chenge a.k.a mzee wa tujisenti.
 

Sijakuelewa Maane, kwanini awafuatilie kwa mbali? kwani walimuibia mpaka awaue?
 
Labda hiyo ndio mganga wake kamshauri - maana kule kuna gambush
 
...........kafara la uchaguzi au kesi?


Ndo zake hizo, mara amwage unga unga (dawa) bungeni, mara aende kukaa nchini ya sakafu bungeni, hivi akili yake nzuri au ni sababu ya kuamini uchawi
 
 
Mgombea huyo ubunge alihoji: ''Kwani polisi wamesameje.''

''Kama wenyewe wenye mamlaka ya kusema wameshasema, mnanipigia mimi ili iweje. Muda wangu ni muhimu sana kuliko kusikiliza umbea wenu wa magazeti, tumewachoka kuwasikiliza, muulizeni huyo aliyewatumia.''
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…