Ni picha tosha kuwa wakishika madaraka lazma kwanza wajaze matumbo na kujiwekeza kichama......... Kuna umuhimu wa kuibadili katiba kuhusu uwezo wa wagombea kiuchumi. Kama wafanyavyo America
Ni picha tosha kuwa wakishika madaraka lazma kwanza wajaze matumbo na kujiwekeza kichama......... Kuna umuhimu wa kuibadili katiba kuhusu uwezo wa wagombea kiuchumi. Kama wafanyavyo America
Ni bora SHETANI unayemjua kuliko MALAIKA usiyemjua. Hi chama ninaamini kimejaa malaika tusiowajua subirini mziki wake sera zao ni unafiki fitina na kulipa visasi mtaona tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.