Peleka kwa mafundi gereji,wapake na rangi kiustadi,halafu lipeleke show room, hapo hata milioni 20 utapata.Magari ya siku hizi bwana,bodi nyanya kabisa,injini ndo usiseme.Tunafirisika watanzania,gari kimuundo linaonekana zuri,ukilinunua miaka minne tu hoi taabani,kila siku mafua na kuwa rafiki wa gereji.Wanajamvi kabla hujanunua gari hebu pata ushauri kwa wajuvi wa magari kwanza.Hilo unalouza litakuwa na kideri tayari.Haya wanajamvi changamkieni pasua kichwa hiyo,vinginevyo jibane uingie show room.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.