Gari inauzwa

Gari inauzwa

Nimeipenda kama itmkuwepo hadi Feb mwishoni tuwasiliane
 
Nyuma yk
 

Attachments

  • 1390033669195.jpg
    1390033669195.jpg
    89.7 KB · Views: 107
Peleka kwa mafundi gereji,wapake na rangi kiustadi,halafu lipeleke show room, hapo hata milioni 20 utapata.Magari ya siku hizi bwana,bodi nyanya kabisa,injini ndo usiseme.Tunafirisika watanzania,gari kimuundo linaonekana zuri,ukilinunua miaka minne tu hoi taabani,kila siku mafua na kuwa rafiki wa gereji.Wanajamvi kabla hujanunua gari hebu pata ushauri kwa wajuvi wa magari kwanza.Hilo unalouza litakuwa na kideri tayari.Haya wanajamvi changamkieni pasua kichwa hiyo,vinginevyo jibane uingie show room.
icon5.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom