bobycasablanca
Member
- Nov 25, 2013
- 56
- 9
Gari aina ya toyota carina inauzwa iko mikocheni, ni manual na inatumia diesel ni nzuri sana na haina tatizo lolote
Inamilikiwa na mmama na sababu yakuuzwa ni kuwa mmiliki amenunua gari lingine sasa ibabidi apunguze aliyokuwa nayo kabla kwani hatoweza kuyatumia yote kwa wakati mmoja
Tafadhali kama unataka gari njoo ulione kabla hujafanya uamuzi maana ni gari nzuri sana
Wasiliana nami kwa simu namba
0716 85 06 95
Tupo karibu na kituo cha victoria mikocheni
Inamilikiwa na mmama na sababu yakuuzwa ni kuwa mmiliki amenunua gari lingine sasa ibabidi apunguze aliyokuwa nayo kabla kwani hatoweza kuyatumia yote kwa wakati mmoja
Tafadhali kama unataka gari njoo ulione kabla hujafanya uamuzi maana ni gari nzuri sana
Wasiliana nami kwa simu namba
0716 85 06 95
Tupo karibu na kituo cha victoria mikocheni