kaka ya kwako ya mwaka gani!Duuuuuh gari ya Mwaka 1987 ! peleka kauze chuma chakavu.
tunapenda ila jitahidi tuione ili tufikie uamzi sahihi!wazee hampendi corolla jamani?
1987? dah hapo mbali sana chukua 1.6M fasta na nitupie mapicha
Nimependa Reason for sale; next tym andika reasons for sale owner Fed up
wazee hampendi corolla jamani?[/QUOTE
Tunapenda tunasubiri picha tuone ili tuthaminishe na bei iliyoandikwa (VALUE FOR MONEY) maana hata rangi hujatuambia kwani inaweza ikawa imepigwa pasi za mjini ikawa na mabaka kama gari la jeshi kila siku kesi na traffic kwa rangi iliyopo kwenye kadi haiendani na hali halisi (WEKA PICHA)
Ulitaka niandike Reason: User Sick???? au unataka niandike unachofikiria wewe? natoa reason kwendana na uhalisia, sio nijisumbue kufikiria some "Jodoki Kalimilo" anafikiria nini....!!!!Hiyo siku hizi ndio imekuwa kauli mbiu ya sasa kila mtu ndio huwa sababu yake maana na sie wabongo akitaja sababu nyingine atashushwa sana kwa kumwona anashida
View attachment 66580View attachment 66581View attachment 66582
Haya picha zimekubali gari lenyewe hilo hapo, swaaaaafiiii.
Limelipiwa kila kitu, matairi bado yanalipa sana yaani kiufupi halina shida.
Nishaweka bhana...angalia kama inafaa contact upatiwe gari yako.wazee hampendi corolla jamani?[/QUOTE
Tunapenda tunasubiri picha tuone ili tuthaminishe na bei iliyoandikwa (VALUE FOR MONEY) maana hata rangi hujatuambia kwani inaweza ikawa imepigwa pasi za mjini ikawa na mabaka kama gari la jeshi kila siku kesi na traffic kwa rangi iliyopo kwenye kadi haiendani na hali halisi (WEKA PICHA)