Gari inauzwa

Gari inauzwa

Hahahahaha ngastuka machale kundesa.Naona kama kopo.
 
Hii hapana unaweza kuleta ugonjwa nyumbani
 
Sasa mbona kama imetupwa kwenye kichaka kizito
 
Hii hapana unaweza kuleta ugonjwa nyumbani

Mkuu, hayo magari ni magumu usiombe. Mi ninalo tangu 2005 wakati nasoma chuo ndio nilikuwa nalitumia lipo hadi leo ni kuweka betri tu unaenda hata Misri ila mi siliuzi
 
Back
Top Bottom