Ndamwe
JF-Expert Member
- Jun 11, 2008
- 244
- 177
Habari wakuu, kuna gari inauzwa imeingia nchini wiki iliyopita aina ya SUZUKI CARRY 4WD, MANUAL TRANSMISSION, 4 speed, iko Dar, bei maelewano kuanzia Mil.7.5 tu iliyoingiziwa. mmiliki amehamia ghafra mikoani ambako matumizi yake hayapo. Anayehitaji piga cm 0758170507